mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
hakuna alie mwema ndani ya CCM FULL STOP.
Kwenye list ya mafisadi hayumo, sijawahi sikia zaidi ya kuchafuliwa nadhani na mafisadi wakati alipokuwa PM. Yeye alikopa pesa toka nssf hakuiba ikakuzwa sana kama vile kukopa ni dhambi. sina mashaka na sumaye, naamini ni msafi, naamini tu.