haibreus
JF-Expert Member
- Oct 1, 2009
- 295
- 106
Kwa yoyote alie angalia vyombo vya habari ataona kabisa jinsi ambavyo CCM wanajikanganya juu ya rais ajae!na kwa maelezo ya Makamba utagundua ni kwa jinsi gani CCM hawamtaki Sumaye,kwani kitendo cha Makamba kumjibu Sumaye kwamba ajenge tabia ya kuongelea ndani ya vikao na kwamba ajibishane na CDM naona ni kama kumtaka Sumaye ahamie CDM!
na pia sijaelewa ni kwa vipi CDM ihusishwe na mgogoro wa UVCCM na Sumaye.
Je wana CDM mpo tayari kumpokea Sumaye endapo atatangaza kuhamia CDM?na je Sumaye anafaa kuwa president?hana kashfa za kifisadi?udikteta?
naombeni msaada!
na pia sijaelewa ni kwa vipi CDM ihusishwe na mgogoro wa UVCCM na Sumaye.
Je wana CDM mpo tayari kumpokea Sumaye endapo atatangaza kuhamia CDM?na je Sumaye anafaa kuwa president?hana kashfa za kifisadi?udikteta?
naombeni msaada!