The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,477
- 6,875
Msaada please yangu nimeambiwa mita imejilock kufungua mpk wanitumie namba sasa nina wiki nikiwauliza Tanesco wanasema watanitumia tu ila kimya nini cha kufanya?
Bado tunasubiri app yako.Naona hili swala linawapa shida, msiwe na shaka lakini, ninawatengenezea software ya kumonitor umeme, kuanzia kulipia luku kwenye smartphone hadi kuangalia kila kifaa kinavyotumia umeme, hadi recommendation simu inakupa kua ukizima kitu flani uta-save kiasi flani. Hutogusa sijui remote wala nini tena, simu yako itamaliza kila kitu.
Tia timu ofisini kwaoMsaada please yangu nimeambiwa mita imejilock kufungua mpk wanitumie namba sasa nina wiki nikiwauliza Tanesco wanasema watanitumia tu ila kimya nini cha kufanya?
Tatizo lako kama langu tu Mie nina wiki mbili now kesho narudi tena taa ya nescoMkuu ninasiku mbili umeme kwetu hakuna ila kwa jirani unawaka Sasa nimejaribu kununua betri Mpya nikatia umeme zimeingia unit 37main switch iko on but umeme bado hauwaki nifanyaje
panaboa Sana aisee yaani majirani wanafaidi Sana kutizama kill kitu but mm hakuna jipya yaaniTatizo lako kama langu tu Mie nina wiki mbili now kesho narudi tena taa ya nesco
Hii ya kuzing'ata Ni new innovation,weka patentHakikisha betri zako zina nguvu
Leo tarehe 30 - 1 - 2020 tokea saa mbili nimehangaika sana kuingiza luku ila ilikuwa inagoma, nimeenda hata kwa jirani wawili kuingizia ila imegoma, baada ya hapo nikakata tamaa, Nimerudi kwangu saa tatu nikaona labda tatizo ni betri, basi nikazing'ata betri ili ziongezeke nguvu nikaziweka kwenye mita, nikaingiza namba kitu kikajibu "good" na umeme ukawaka.
Nunua betri mpya au ziminye hizo betri kwa kuzing;'ata na meno, hakikisha umezifunga kwenye kitambaa kama utazibana kwa kuzing'ata na meno maana zinaweza kupasuka unapozing'ata na zikipasuka zina sumu kali sana
😂😂 Kizazi hiki hakiwezi kujua taabu tukizopitia wakongwe, enzi hizo redio za betri ndio zilikuwa kitovu kikuu cha kupata habari na zilitumia betri, zikiisha betri kitu cha kwanza ilikuwa lazima uziponde na mawe zikusogeze kwa siku mbili tatu kabla hazijaisha nguvu kabisaHii ya kuzing'ata Ni new innovation,weka patent
Thank you mkuu.Ili kuweza kutumia mita yako ya LUKU fanya yafuatayo
1. Hakikisha betri za remote yako ni nzima na zimewekwa kwa usahihi ktk sehemu ya betri.
2. Hakikisha Main Switch na Circuit Breaker ya nyumba yako zimewashwa/ ziko ON.
3. Pachika remote yako ktk switch socket moja wapo na hakikisha inakuwa on.
- kama umefuata taratibu hizi remote yako itawaka/display. Ikisha waka ingiza namba za kufungulia mita "12682136550811111930" kisha bonyeza mshale wa enter ulio chini kulia mwa remote yako.
Kama utafuata taratibu hizi mita yako itafungua na umeme utawaka.
Isipo waka toa taarifa usaidiwe.
msaada tafadhali.Mie mita yangu inaandika error 06 sijui nifanye nini?