Habari wana JF, npo kwenye gari kuna ubishan mkali. Kuna tofauti gan kati ya maneno haya.
1. Umeolewa 2.Umeowa 3.Tumeowana
No 3 ndio linaleta mkanganyiko sana. Ungewasaidiaje hawa watu?
hao walio oana ni wanaume?au wanawake au yote sawa?sijakuelewa.hebu fafanua vizuri.hiki ni kitendawili au misemo?ukiona wanaendelea kama vipi nenda ukawaoe.mia
hao walio oana ni wanaume?au wanawake au yote sawa?sijakuelewa.hebu fafanua vizuri.hiki ni kitendawili au misemo?ukiona wanaendelea kama vipi nenda ukawaoe.mia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.