Suluhisha huu ubishani!!!

Poriposha

JF-Expert Member
Oct 23, 2011
303
68
Habari wana JF, npo kwenye gari kuna ubishan mkali. Kuna tofauti gan kati ya maneno haya.
1. Umeolewa 2.Umeowa 3.Tumeowana
No 3 ndio linaleta mkanganyiko sana. Ungewasaidiaje hawa watu?
 
hao walio oana ni wanaume?au wanawake au yote sawa?sijakuelewa.hebu fafanua vizuri.hiki ni kitendawili au misemo?ukiona wanaendelea kama vipi nenda ukawaoe.mia
 
hao walio oana ni wanaume?au wanawake au yote sawa?sijakuelewa.hebu fafanua vizuri.hiki ni kitendawili au misemo?ukiona wanaendelea kama vipi nenda ukawaoe.mia

ni vidume tena vilivyo oa, wanadai mwanaume anaoa, mwanamke anaolewa ila hakuna kusema sisi tumeoana. Ni kweli jamaan?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom