Mangaline
JF-Expert Member
- May 19, 2012
- 1,045
- 221
Haya yote kama ni kweli, Tuliyategemea. FBI, na Scotland yard wakiingia znz, Mambo mengi yatafunuliwa, na yamkini mkashangaa kuona Viongozi wakuu wa mauaji hayo, ni watu ambao hamkutegemea. Hivyo kwao ni bora hata kuvunja huo munaouita Muungano, kuliko kuruhusu uchunguzi ambao utawaumbua.