SUK yaigomea JMT kupelekwa FBI Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Taarifa haina miguu wala mikono zaudi ya uchochezi na haiingii akilini labda tu SMT ina taka kuficha kitu kisijekujjulikana na umma. kwa sababu mamo ya usalama ni mamo ya muungano. mamlaka ya Zanzibar ni kutekeleza sera za ccm, Kisha shein Bosi wake Kikwete Wazanzibari ndio hasa wanaotaka uchunguzi ufanyike wa kimataifa ijuulikane mbivu na mbichi. Na nadhani matukio hayna lengo na hila la kuviza maimamo wa Zanzibari ya kudai nchi yao?
Heshima kwenu wanajamvi,

Taarifa toka chini ya kapeti zinasema Serekali ya umoja wa kitaifa Zainzibar chini ya uongozi wa Dr Shein na makamu wa Rais Maalim Seif Shariff Hamad wameikatalia serkali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania chini uongozi wa Amiri jeshi mkuu Dr Jakaya Mrisho Kikwete kupeleka kikundi cha kijasusi Zanzibar kwaajili ya upepelezi mauaji ya Padre Mushi.

Habari zilizozagaa mitaani kwamba Rais Kikwete ameomba msaada wa mashirika ya kijasusi toka mataifa ya kigeni kusaidia upelelezi uenda zikakwama ikiwa serekali ya SUK itaendelea na msimamo wake.

Naomba kuwasilisha.
 
Wanakwepa aibu

Karume, Seif hata kamishina wa polisi Zanzibar ni UAMSHO. CIA na FBI wangeanika kila kitu
Ukichimbua utagundua Kikwete ndiyo mwasisi, kuna jamaa wa zanzibar aliniambia wakati wa kampeni ccm ilikiahidi kikundi furani kuwa kihakikishe ccm inashinda na baada ya kushinda watapewa ajira za kudumu lakini baada ya uchaguzi ccm wakawatupa...kikundi hicho kimeasi na wana hasira na wabara kwani wandiyo kikwazo ya ahadi yao kwa maana ya ccm...
 
Duh!kwa siku unamtaja mara ngapi Dr Slaa?

Mkuu!

Heshima kwako.

Hilo jina linawapa shida sana MAGAMBA. Wakilisikia ni sawa na kuwaambia "WASHIKE NYETI ZA SIMBA". Si wanajuwa hali halisi ya 2010 kwamba ngoma ilisha wapasukia ikabidi watafute muunga ngozi!!!!
 
Lolote linawezekana hasa ukitafakari kauli ya Nchimbi kwamba mauaji ya Padri Mushi ni ugaidi na majibu ya Maalim Seif kuwa si ugaidi, kwa waliobahatika kumsikia Maalim katika upingaji wake alionekana kukerwa na kauli ya Waziri Nchimbi, kama ni kweli wamekataa FBI wasitie mguu znz hali hii itakuja na tafsri nyingine na haitakuwa nzuri kwa Serikali zote mbili.[/QUOTE
TAIFA MOJA SERIKALI MBILI:high5:
 
Ukichimbua utagundua Kikwete ndiyo mwasisi, kuna jamaa wa zanzibar aliniambia wakati wa kampeni ccm ilikiahidi kikundi furani kuwa kihakikishe ccm inashinda na baada ya kushinda watapewa ajira za kudumu lakini baada ya uchaguzi ccm wakawatupa...kikundi hicho kimeasi na wana hasira na wabara kwani wandiyo kikwazo ya ahadi yao kwa maana ya ccm...

hicho kikundi kinaitwa Ubaya ubaya, halafu kina watoto mpaka wa miaka 15
 
Ukichimbua utagundua Kikwete ndiyo mwasisi, kuna jamaa wa zanzibar aliniambia wakati wa kampeni ccm ilikiahidi kikundi furani kuwa kihakikishe ccm inashinda na baada ya kushinda watapewa ajira za kudumu lakini baada ya uchaguzi ccm wakawatupa...kikundi hicho kimeasi na wana hasira na wabara kwani wandiyo kikwazo ya ahadi yao kwa maana ya ccm...
wabara ndo wagawa ajira au ndo walio waahidi hizi ajira?
 
Haya ni maneno ya Maalim Seif Baraghash tafadhali jisomee mwenyewe bila kuazima akili ya mtu mwingine.


"Maalim Seif amehoji kwamba matukio ya watu kuuwawa ni ya kawaida kule Tanzania bara Mkoani Geita na hivi karibuni kumetokea mauwaji na watu kadhaa kujeruhiwa kutokana na vurugu za kidini na haikusikika kauli ya waziri Nchimbi akiyaita mauwaji hayo na vurugu hizo kuwa ni ugaidi unaofanywa Tanzania bara badala yake kistaarabu kabisa waziri Mkuu amekwenda Geita na kujaribu kutuliza hali hiyo.. "Kwa nini kauli za ugaidi ni kwa Zanzibar tu?" alihoji Maalim Seif.

Maalim Seif amewataka viongozi wa Jamhuri ya muungano ku
fahamu kwamba Zanzibar ni nchi na inao viongozi wake kamili, hivyo kiongozi yoyote wa Jamhuri ya Muungano hapaswi kuja Zanzibar na kutoa kali mbaya kama hiyo bila kwanza kukaa na kushauriana na viongozi wa Zanzibar.


Makamu wa kwanza wa Rais wa Zamnzibar ameyasema hayo alipokuwa akizindua mafunzo maalum kwa madiwani wa CUF yanayofadhiliwa na FNS katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Chake chake Pemba leo asubuhi. Padi Mushi ameuwawa kwa kupgwa risasi na watu wasiojulikana jana Jumapili tarehe 17/02/2013 alipokuwa akiwasili katika kanisa la Beit el Raas kwa ajili ya kuongoza misa. Padri Mushi atazikwa siku ya Jumatano ya tarehe 23/02/2013 baada ya mipango ya mazishi kukamilika

Source: Ismael Jussa FB wall. "



Taarifa haina miguu wala mikono zaudi ya uchochezi na haiingii akilini labda tu SMT ina taka kuficha kitu kisijekujjulikana na umma. kwa sababu mamo ya usalama ni mamo ya muungano. mamlaka ya Zanzibar ni kutekeleza sera za ccm, Kisha shein Bosi wake Kikwete Wazanzibari ndio hasa wanaotaka uchunguzi ufanyike wa kimataifa ijuulikane mbivu na mbichi. Na nadhani matukio hayna lengo na hila la kuviza maimamo wa Zanzibari ya kudai nchi yao?
 
Huu ndio mtihani ambao watu wenye akili timamu walikuwa wanasubiri kuuona. Hatuna Tanzania! Na jambo linaloshangaza ni upofu wa Team ya wakina Mangula, Kinana na wale wamama 'wastaafu' toka Umoja wa mataifa! Hakuna cha maana wanachosimamia na wala hawaonekani kujua wanaongoza nchi ipi? Tanzania, Ipi?

Tangu waunde tema mpya huko Dodoma, CCM -ambao ndio wenye serikali, wameamua kuwekeza kwa hawa vibaka (masalia) ili watukane watu, badala ya kukaa chini na kujenga 'UKUTA' ambao ulidondoka siku nyingi. Ufa, tena wa wazi, ulianza kuanguka zaidi ya miaka 10 iliyopita.

Technically, Zanzibar walishajitoa kwenye Katiba ya Muungano, kinachowafanya wasitamke mara kwa mara kuwa wao si sehemu ya huu Muungano wa kiini macho, ni 'cheques' zinazoenda huko. Tanzania iliingia ICU pale Katiba ya Zanzibar ilipobadilishwa, bila ya kufanya marekebisho kwenye Katiba ya JMT. Na sasa upo uwezekano wa hii Tume ya Warioba kuja na kiini-macho original.

Tunajua, Katiba mpya haitakuwa na tofauti kubwa sana hii ya sasa, kwa maana ya muundo wa serikali. Zitabakiwa kuwa serikali mbili. Lakini bado hakuna jambo lolote linalofanyika kuondoa mkanganyiko wa Kikatiba kati ya SUK na JMT! Na kwa bahati mbaya sana, uongozi wa sasa wa CCM na hata serikali ya JMT umekuwa na ama kigugumizi kwenye mambo ya msingi kuhusu utaifa, au umekuwa na uwoga wa kuchukua majukumu yake kama uongozi wa Taifa.

Zamani, chokochoko na jeuri zilikuwa zinamalizwa Dodoma. Lakini kwa sasa Dodoma kumekuwa ni sehemu ya kupanga mikakati ya matusi na matumizi ya vitu vizito. Tanzania imesambaratika mbele ya watu wazima hawa.

Mficha maradhi kifo kitamuumbua!
 
Ivi raisi wa ZNZ si anareport kwa JK?
Naona muungano sasa unaweza anguka rasmi!
Kama hawataki then waseme aliyemuua FR ni nani?

Na waanze na kumpata muuwaji wa yule professor aliyeanika siri za migodi ya kanisa kule songea
 
Mkuu Ngongo,
Mbona tunaambiwa FBI tayari wapo Zanzibari.

Mkuu, umemsikia mkuu wa jeshi la polisi ZNZ alivyokanusha uwepo wa hao watu(FBI), wala kwamba kuna watuhumiwa wameshakamatwa kuhusiana na kifo cha Fr. Mushi?
 
Ukichimbua utagundua Kikwete ndiyo mwasisi, kuna jamaa wa zanzibar aliniambia wakati wa kampeni ccm ilikiahidi kikundi furani kuwa kihakikishe ccm inashinda na baada ya kushinda watapewa ajira za kudumu lakini baada ya uchaguzi ccm wakawatupa...kikundi hicho kimeasi na wana hasira na wabara kwani wandiyo kikwazo ya ahadi yao kwa maana ya ccm...
Mkuu hapo kwenye red angalia sana utalambishwa BAN na Painkiller sasa hivi! Mwenzio Ngongo tayari ameshalamba yake sasa hivi yuko gerezani. Sijui kakosa nini maskini!!
 
Taarifa ya kukanusha iliyotolewa na kamishna wa polisi zanzibar siyo ya kweli!Ukweli ni kwamba FBI wapo zanzibar na kazi inaendelea kufanywa kwa kushirikiana na vyombo vya ndani,ila serikali ilishtuka baadaye na kuona kwamba ni kosa kiupelelzi watu na hasa wahalifu na yeyote mwenye nia mbaya kujua kwamba kuna wapelelezi wa nje wanawachunguza
 
Yaani hapa si sawa na kikwete kutoa agizo kwa mkuu wa mkoa wa Tanga halafu mkuu huyo akalikataa. Kweli Zenji ni nchi, huu muungano ushavunjika
 
SUK iko sahihi kabisa katika hili.Naamini kwamba scenario yote hii ni conspiracy ya Wamarekani wakisaidiwa na CIA na FBI.Nia yao ni kutufanya kama ni kuanza kuleta vurugu na vita ya wenyewe kwa wenyewe halafu waanze kutuibia resources zetu kama wanavyofanya kule Congo DRC.Utamkaribishaje nyoka nyumbani?Wamarekani sio watu wazuri,hatimaye tutajuta!
Heshima kwenu wanajamvi,

Taarifa toka chini ya kapeti zinasema Serekali ya umoja wa kitaifa Zainzibar chini ya uongozi wa Dr Shein na makamu wa Rais Maalim Seif Shariff Hamad wameikatalia serkali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania chini uongozi wa Amiri jeshi mkuu Dr Jakaya Mrisho Kikwete kupeleka kikundi cha kijasusi Zanzibar kwaajili ya upepelezi mauaji ya Padre Mushi.

Habari zilizozagaa mitaani kwamba Rais Kikwete ameomba msaada wa mashirika ya kijasusi toka mataifa ya kigeni kusaidia upelelezi uenda zikakwama ikiwa serekali ya SUK itaendelea na msimamo wake.

Naomba kuwasilisha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom