Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
MBUNGE wa Mbeya Mjini,
Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema sheria ya uchaguzi katika nafasi za mameya na wenyeviti wa halmashauri nchini ina kasoro hivyo haipaswi kupewa nafasi katika Katiba mpya.
Alisema kitendo cha kundi la watu wachache (madiwani) kuwa na uwezo wa kisheria kumsimamisha kiongozi anayeenda kutetea maslahi ya watu wote hata wasio na vyama hakipaswi kupewa nafasi katika Katiba mpya ambayo moto wa kuidai kuandikwa upya umepamba moto kila kona ya nchi
Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema sheria ya uchaguzi katika nafasi za mameya na wenyeviti wa halmashauri nchini ina kasoro hivyo haipaswi kupewa nafasi katika Katiba mpya.
Alisema kitendo cha kundi la watu wachache (madiwani) kuwa na uwezo wa kisheria kumsimamisha kiongozi anayeenda kutetea maslahi ya watu wote hata wasio na vyama hakipaswi kupewa nafasi katika Katiba mpya ambayo moto wa kuidai kuandikwa upya umepamba moto kila kona ya nchi