Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,423
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi bado yuko Chunya kwa ziara ya kikazi, ambako ameendelea kuelimisha Wananchi kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya ambayo itazaa Tume huru ya Uchaguzi.
Sugu ambaye sasa anajulikana pia kama Jeshi la Mtu mmoja, anashangaza wengi kutokana na uwezo wake wa kuichambua Katiba ya Tanzania mithili ya Wahadhiri wakubwa wa Vyuo vikuu, hakika huyu jamaa ameiva.
Balaa zaidi ni uwezo wake wa kuuchambua Mkataba mbovu wa Bandari utadhani yeye ndio Mbarawa mwenyewe kutoka Kisiwandui.
Mambo yalikuwa hivi na hapa ni kata ya Lupa
Wachambuzi wa Siasa wanaiona Chadema kama chama kilichoiva na kinachoaminiwa na wananchi kutokana na uwezo wa viongozi wake.
Bali kinachofahamika ni kwamba , hakuna kiongozi wa CCM au hata wabunge wake wanaoweza kuitisha mkutano wa hadhara ukahudhuriwa na umati bila msaada wa viongozi wa kitaifa.
Sugu ambaye sasa anajulikana pia kama Jeshi la Mtu mmoja, anashangaza wengi kutokana na uwezo wake wa kuichambua Katiba ya Tanzania mithili ya Wahadhiri wakubwa wa Vyuo vikuu, hakika huyu jamaa ameiva.
Balaa zaidi ni uwezo wake wa kuuchambua Mkataba mbovu wa Bandari utadhani yeye ndio Mbarawa mwenyewe kutoka Kisiwandui.
Mambo yalikuwa hivi na hapa ni kata ya Lupa
Wachambuzi wa Siasa wanaiona Chadema kama chama kilichoiva na kinachoaminiwa na wananchi kutokana na uwezo wa viongozi wake.
Bali kinachofahamika ni kwamba , hakuna kiongozi wa CCM au hata wabunge wake wanaoweza kuitisha mkutano wa hadhara ukahudhuriwa na umati bila msaada wa viongozi wa kitaifa.