dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Ni mjadala wa maliasiri na utalii CDM ni noma.
Adai anatamani watakao goma kuachia ngazi awapige na viti.
Awambia huu sio upepo anaopita bali ni TUFANI awaonya mawaziri na Rais wakigoma rais nae ajiandae kuondoka
Kama mawaziri hawana kauli na bajeti za wizara na makatibu kuwa na nguvu zaidi yao basi kusiwe na mawaziri wabakie wote wabunge kieleweke
Wanafundwa ili wawe wapinzani makini baadae
Kaomba wasinyongwe ila wafungwe
Adai anatamani watakao goma kuachia ngazi awapige na viti.
Awambia huu sio upepo anaopita bali ni TUFANI awaonya mawaziri na Rais wakigoma rais nae ajiandae kuondoka
Kama mawaziri hawana kauli na bajeti za wizara na makatibu kuwa na nguvu zaidi yao basi kusiwe na mawaziri wabakie wote wabunge kieleweke
Wanafundwa ili wawe wapinzani makini baadae
Kaomba wasinyongwe ila wafungwe