Ni mjadala wa maliasiri na utalii CDM ni noma.
Adai anatamani watakao goma kuachia ngazi awapige na viti.
Awambia huu sio upepo anaopita bali ni TUFANI awaonya mawaziri na Rais wakigoma rais nae ajiandae kuondoka
Kama mawaziri hawana kauli na bajeti za wizara na makatibu kuwa na nguvu zaidi yao basi kusiwe na mawaziri wabakie wote wabunge kieleweke
Wanafundwa ili wawe wapinzani makini baadae
Kaomba wasinyongwe ila wafungwe
Yale yale....Tunamsubiri yesu...
Alichosema ni kuwa; yeye ni mkatoliki asingependa kuona watu hao wauwawe lakini angependa wafungwe maisha!
Rejao,
kuna thread ya udini humu ndani hukuiona nini ukachangie kule!!?
"Shatwani mkubwa wewe!!"
jamani kwa aliyeangalia bunge naomba atujuze kwa alichokisema leo mjengoni.[/QUOT
Alichosema nani?
NINAKUSHAURI UKAKISHAURI CCM KIMBUNGA KINAKUJA ARUMERU MLIFIKIRI UTANI SASA ANGALIA SLAA ANAVYOSAFISHA NJIA NNYIE MNABEZA BUNGENI CHADEMA WANAVUNA WANANCHI:target:Yale yale....Tunamsubiri yesu...
Sikuelewa alichokuwa nazungumza. Ilikuwa ni vurugu tu, mara Swiz, mara Katavi, mara Mbeya, mara vipepeo, mara mi Mkatoliki...kuna asiyejua CDM wamejaa wakatoliki???