Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 99
Huyu jamaa aangalie sana na chadema inabidi wamsaidie huyu sugu sivyo jimbo hilo litawatoka mwaka 2015
Brooh acha hizo, Mtu mzima ni mjaluo tu na ukumbuke kuwa Rais wako alishasema kuwa "watanzania mkitaka kula lazima mliwe kwanza"..je hilo kwa mtazamo wako sio tusi?
Sugu endelea hivyohivyo, wapiga kura wa Mbeya mjini wako pamoja na wewe kwani wanakufahamu rangi zako toka ukiwa kitaani na huvai ngozi ya kondoo asilani .....bigup
kikwete ni nani kwa kauli yake hapo juu? na wewe acha use.nge. mtu analiwaje?Kijana ebu acha kushabikia matusi, kumbuka sugu ni mbunge sio muhuni wa Kwa Mtogore, lazima hawe na heshima mbele ya jamii
Hawa ndio viongozi wa (Bavicha) ndio wanataka tuwape nchi, utawajua tu kwa matusi yao ndio maana wanamtetea muhuni mwenzao Sugukikwete ni nani kwa kauli yake hapo juu? na wewe acha use.nge. mtu analiwaje?
Ana sura mbili kweli na zote za kis*ngeSugu ana sura 2 ktk jamii 1. Msanii 2. Mbunge
lakin kwa status aliyonayo no 2 hakutakiwa kutumia neno kali hvyo.
Kijana ebu acha kushabikia matusi, kumbuka sugu ni mbunge sio muhuni wa Kwa Mtogore, lazima hawe na heshima mbele ya jamii
Kwa hiyo unashauri nini?subiri siku mtu aje atumie jina lako kupata mamilioni ndio utajua.watu mtasema yote ila jamaa yenu kachemka na ni uvivu wa kufikiri kuunganisha usanii wake na upuuzi aliofanya...yeye ni kiongozi wa jimbo na wananchi wake vijana kwa wazee wanamsikiliza..
..times have changed.
..pia u have consider alikuwa anaongea na watu gani.
..marafiki zake huko kwenye facebook inawezekana wako comfortable na lugha anayotumia huko.
..ninavyoelewa kwenye facebook kama hupendezwi na mwenendo wa rafiki yako kuna namna ya kukata mawasiliano na mtu huyo.
..kwa jinsi mafisadi wanavyotupelekesha mara nyingi sana nimejisikia kutumia maneno kama aliyotumia Mheshimiwa Sugu.
Asante sana mkubwa umenisaidia kuwasilisha nilichokuwa nataka kuandika,big up sana!....Kwangu Sugu ni shujaa na ataendelea kuwa role model wangu.HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE!Nimefurah Sugu kutamka hlo "tusi"...ooooof imepngza hasra nying za kuvamiwa na kuibiwa vfaa vyke vya mzk,kuibiwa project yke n.k Amedhulumiwa sana,amepgwa vita sana tena ya waz na kna Ruge& Co...!!kwa bnadamu huwez kuacha kuwa na moyo wa "kisasi"...anayeweza n yeye yuleyule asye na mbadala..yeye s mwing wa hasira n mwng wa rehema...SUGU n bnadamu acha autimze ubnadamu wake kwa "tusi" SUGU hakuwah kuwa mwanasiasa,zaid ya mzki..toka kuwa mlinz getin pale BP mpaka mzki..n mtoto wa mtaa,hustler na mwanahphop..hakuandaliwa kuwa mwanasiasa lkn amekuwa,lkn n mwakilsh wa kwel juu ya hsia na matatzo ya watu...anaweza tena sana mana maisha ya dash na mlo mmoja ameptia...hajabebwa,alijbeba kufkia mafankio yake! Kwa "Ethnocentrist" Sugu n "muhun" tena watampa kila aina ya majna mabaya na kumthumu kwa hla na dhihaka,lakn kwa "Relativist" SUGU n shujaa ameonyesha pcha yke,hsia na dukuduku lake..n njia nzur kuliko angechukua Bunduk na kuua.... SUGU n mwanahphop..and hphop z ol abt busting frankly and openly what shouldnt even b busted in a closed cube...jasir aachi asiri..thats z hiphop!awez kubadlika kwa miez mitatu ya kuwa Mbunge kwa uasiria wake wa miaka zaid ya kumi na kenda...!I stand to be corrected
Sugu, miaka mitatu iliyopita ulikuwa hujajua exploitation ya Fiesta, au ulikuwa huna kitu ukawa una kiss rear end za kina Ruge?... WASE.NGE pamoja na kufoji na kutumia sauti yangu ya miaka mitatu nyuma kwenye tangazo lao la fiesta ili kuwavuruga watu
kwanin unawatetea wez hiv kwa kuangalia 2 huon mzk wetu ulivoporomoka wako wap kina juma nature,jaymo,rayc, pili watu wenyewe wambea kinoma pili kwa nin wanapenda kufuatilia maisha ya watuUna uhakika gani hawalipi kidi? Mpaka waje kukutangazia kuwa wamelipa kodi kiasi flani? TRA siyo wazembe kama unavyofikiri
tena kuna mijitu inasema hakwenda bungeni kisa fiesta, hivi kati ya wabunge zaidi ya 300 watanzania tuantegea mahudhurio ya sugu pekeehivi bill clinton aliyefanya mapenzi na lewinsky na maneno ya sugu,yupi aliyeharibu zaidi,by the way hadi kwenye facebook wall yake unamfatafata sana,mimi nilidhani aliita press conference na kuongea hayo maneno!!mwizi chenge na maneno ya sugu,nani anawaumiza watz au nani mbaya kwa watz????ye sugu is not right but not completely wrong....
Hata ze comedy wanatumia maneno ya dizain hiyo.mfano jibwaa hilo na mengine 2. Acha awatengue 2. Kama vip mie namwongezea awambie.`sh**zy typeKapata faida gani kwa kumwaga matusi facebook? Imewauia hao wezi? Je hao walengwa hata wameona ujumbe? Tuache unafiki kwa kutetea alichofanya hakumsaidii bali kunambomoa. Kulikua hakuna haja ya matusi unaweza tumia maneno ya ukali bila kutukana. SIjui ni nini haswa mnacho tetea hapa???
Hata ze comedy wanatumia maneno ya dizain hiyo.mfano jibwaa hilo na mengine 2. Acha awatengue 2. Kama vip mie namwongezea awambie.`sh**zy type
Hata kama hakwenda cku akienda c anacover cku zote ambazo hakwenda. Kwan kina wasira c walikuwa wamesinzia 2.tena kuna mijitu inasema hakwenda bungeni kisa fiesta, hivi kati ya wabunge zaidi ya 300 watanzania tuantegea mahudhurio ya sugu pekee
unataka kujua umuhimu wa lugha aliyotumia??..amefanikiwa kupata attention kubwa ya watu wa rika mbalimbali ivyo mjadala aliouanzisha ambao ndio shabaha yake kubwa utakuwa na wigo mpana zaid na utachukua watu wengi zaidi kuujadili