MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Hiyo ndiyo lugha sahihi ya mwizi hakuna lugha ya marashi kwa mwizi, mwizi ni mwizi tu
jinsi kibaka anavovishwa tairi na wao walistahili ila kwa kuwa Sugu kuwastahi akawaambia was....
Ningekushauri badala ya kumlaumu Sugu waambie Clouds next time wasitumie tena sauti za
watu bila ridhaa zao wase....... wakubwa kabisa.
Kapata faida gani kwa kumwaga matusi facebook? Imewauia hao wezi? Je hao walengwa hata wameona ujumbe? Tuache unafiki kwa kutetea alichofanya hakumsaidii bali kunambomoa. Kulikua hakuna haja ya matusi unaweza tumia maneno ya ukali bila kutukana. SIjui ni nini haswa mnacho tetea hapa???