Maendeleo yanaletwa kwa kuhimiza watu wafanye kazi kwa bidii, la sivyo wabunge wote waanze kutafuta HELA HUKU NA HUKO HATA IKIWEZEKANA KUFANYA BIASHARA ILI TU KUCHANGIA MAENDELEO.
aaaah.......sasa jamaa akiimba wadau wanalaumuuu,,,,nadhan its beta akaimba ili apate wasaa wa kutowaza posho