Serikali ya Sudan Kusin imeamua kuhamisha mji mkuu kutoka Juba hadi mji wa Ramciel,uamuzi huo umefikiwa na baraza la mawaziri ambalo lilikaa na kuamua.Wazairi wa Habari Barnaba Marial Benjamin alisema uamuzi huu umeafikiwa kwa sababu Juba ni mji unaokabiliwa na ukosefu wa ardhi.
MY TAKE;Sudan ni taifa chaaanga kabisa,lakini linaweza likaitimiza azma yake,wakat Tanzania hadi sasa inapiga danadana na suala la kuhamia DODOMA
sosi:tehran redio-Iran
MY TAKE;Sudan ni taifa chaaanga kabisa,lakini linaweza likaitimiza azma yake,wakat Tanzania hadi sasa inapiga danadana na suala la kuhamia DODOMA
sosi:tehran redio-Iran