major mkandala
Member
- Mar 6, 2010
- 74
- 0
Si kweli!
Kwa maana kwamba wapo watu ambao (hasa wanawake wale ambao wanaona muda unaenda bila kuwa na mchumba au mpenzi wa kuwa naye katika maisha) huamua kushikana na bora mwanaume kwa imani kwamba ni heri kuwa na huyo mmoja (unfaithful, untrustworthy) kuliko kutakuwa na mwanaume yeyote.
Subiri kidogo nikwambie!
Kujiingiza kwa wanaume ambaye moyo wako hauko radhi eti kwa sababu unataka na wewe uonekana una mpenzi au una mchumba au una mume ni kuumiza hisia zako.
Hata kama unaamini utafanikisha matakwa yako bila kuunganishwa emotionally, intellectually au affectionally utaishia kuumizwa.<!--[if !supportEmptyParas]--> <!--[endif]-->
Kuna siku nimewahi kuandika kwamba kuna usemi mmoja wa kingereza unaosema:
Someone is better than no one
Kwa maana kwamba wapo watu ambao (hasa wanawake wale ambao wanaona muda unaenda bila kuwa na mchumba au mpenzi wa kuwa naye katika maisha) huamua kushikana na bora mwanaume kwa imani kwamba ni heri kuwa na huyo mmoja (unfaithful, untrustworthy) kuliko kutakuwa na mwanaume yeyote.
Subiri kidogo nikwambie!
Kujiingiza kwa wanaume ambaye moyo wako hauko radhi eti kwa sababu unataka na wewe uonekana una mpenzi au una mchumba au una mume ni kuumiza hisia zako.
Hata kama unaamini utafanikisha matakwa yako bila kuunganishwa emotionally, intellectually au affectionally utaishia kuumizwa.
<!--[if !supportEmptyParas]--> <!--[endif]-->
Pia huyo someone ambaye unaona ni afadhari kuliko kuwa mwenyewe ni looser ambaye anakuzuia wewe kumpata anayefaa, kwa lugha nyingine huwezi kumpata mwanaume mwenye sifa njema kama utaendelea kukaa au kushikamana na huyo someone wako ambaye hata hivyo ana sifa ovyo.
Wengi wanajuta kwa sababu ya kuamini kwamba "someone is better than no one, hata hivyo waliokiri kwamba "no one is better than a relationship that lack respect" wanapeta.
Wengi wanajuta kwa sababu ya kuamini kwamba "someone is better than no one, hata hivyo waliokiri kwamba "no one is better than a relationship that lack respect" wanapeta.
<!--[if !supportEmptyParas]--> <!--[endif]-->
Tafakari kwa makini!