Izo ni gari ndogo?
Kama una pesa ambazo c za mawazo subaru ndio kila kitu
😀😀😀😀Izo ni gari ndogo? 🤣🤣
Vanguard haitakupa headaches hasa kwenye spares na mafundi na reliability kwa ujumla. Mengine ni personal preferences ingawa nafikiri iko overpriced kidogo kulinganisha na hizo gari nyingine, labda kwa sababu ya umaarufu wake (kama Rav4)
Mimi SUBARU FORESTER kama hii nilichukua Mil 40+ gari inakupa stability ya hali ya juu, haiondoki barabarani kizembe, speed, afu laini ile mbaya.Kweli Vanguard iko juu sana saivi bila mil 30 haupati.
Mimi SUBARU FORESTER kama hii nilichukua Mil 40+ gari inakupa stability ya hali ya juu, haiondoki barabarani kizembe, speed, afu laini ile mbaya.
Chukua Subaru forester XT hizi kubwa zinafanana na Kluger na VanguardView attachment 2465889
Hata mm niliiona hyo post nikasoma comment zote..
2017 tunaita Premium.Hii ni ya mwaka gani.
Tatizo sisi wengine ni wa ruti zetu nyingi ni kijijini .
Kama nikitaka Subaru ya offroad nichukue ya mwaka gani??
2017 tunaita Premium.
Hizo gari ni ndogo ndiyo!!! Ukizungumzia gari kubwa orodha yake ni pamoja na Nissan Patrol, Kluger, Isuzu Trooper, Land cruser nkIzo ni gari ndogo? 🤣🤣
Aisee sasa hapa inategemea na aina ya barabara, Sehemu zingine Offroad unakutana na tope na utelezi mzito na kwingine Mawe mawe kama Oljoro kule. Sasa sijui ww unataka kuizamisha wapi.Offroad inafaaa??