Sikujua, kumbe ving'ora ni ulinzi mkali
Nimetoka Ubungo nakutana na magari kama sita ya usalama wa taifa yanapiga vingora kutokea morogoro kuangalia ndani ya gari lililopo kati Namuona Magufuli nafikiri anatoka Dodoma, waungwana nisaidieni waziri tu anapigiwa security kali hivyo bila hidden agenda?
Kikwete ataiacha ccm kwenye hali mbaya kuliko awamu yoyote iliyopita.