Tanzaniaist
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 161
- 156
Habari zenu wana JF!
Naona mwaka umeanza na tukio likimhusisha Mh.John Magufuli...! mimi kama Political exepert naweza kusema hizi ndizo mbinu za kisasa za kummaliza mtu kisiasa kwa kumchonganisha na wananchi au kumjengea chuki ndani ya jamii....!
Ikumbukwe Magufuli ni tishio kubwa kwenye vita ya uraisi 2015 ndani ya chama chake CCM! kutokana na msimamo na uchpa kazi wake...na ninaona wapinzani wake washaanza fitna na mbinu za kummaliza mapema!
Mfano mzuri...tulishuhudia kwa Dk.Ahmed Salim Ahmed alivyohusishwa na kifo cha karume na pia Hata Sumaye Kuhusishwa na Kashfa mbalimbali....
Tukija Suala la Kigamboni...,Tukiongea kiukweli Mh.John Magufuli alizalilishwa kwa kutukanwa na kuzomewa na wananchi...,ambao ni kama kikundi cha watu fulani hivi kilipangwa kumchefua...naye akawajibu kwa jazba akijua ni kikundi mahususi kilichowekwa kuchochea fitna dhidi yake! Magufuli tumemjua tangia 2000 alivyokuwa waziri wa wizara hiyo hiyo lakini mbona matukio kama hayo yalikuwa hayatokei au magufuli amebadilika! tujiulize?
Naomba Mh.Magufuli Aamke! ajue hizi zote ni mbinu za kisiasa kumdidimisha huku vyombo vya havari vikitumika kuhakikisha ndani ya mwaka 2015...hakubaliki ndani ya chama na ndani ya CCM!
Naona mwaka umeanza na tukio likimhusisha Mh.John Magufuli...! mimi kama Political exepert naweza kusema hizi ndizo mbinu za kisasa za kummaliza mtu kisiasa kwa kumchonganisha na wananchi au kumjengea chuki ndani ya jamii....!
Ikumbukwe Magufuli ni tishio kubwa kwenye vita ya uraisi 2015 ndani ya chama chake CCM! kutokana na msimamo na uchpa kazi wake...na ninaona wapinzani wake washaanza fitna na mbinu za kummaliza mapema!
Mfano mzuri...tulishuhudia kwa Dk.Ahmed Salim Ahmed alivyohusishwa na kifo cha karume na pia Hata Sumaye Kuhusishwa na Kashfa mbalimbali....
Tukija Suala la Kigamboni...,Tukiongea kiukweli Mh.John Magufuli alizalilishwa kwa kutukanwa na kuzomewa na wananchi...,ambao ni kama kikundi cha watu fulani hivi kilipangwa kumchefua...naye akawajibu kwa jazba akijua ni kikundi mahususi kilichowekwa kuchochea fitna dhidi yake! Magufuli tumemjua tangia 2000 alivyokuwa waziri wa wizara hiyo hiyo lakini mbona matukio kama hayo yalikuwa hayatokei au magufuli amebadilika! tujiulize?
Naomba Mh.Magufuli Aamke! ajue hizi zote ni mbinu za kisiasa kumdidimisha huku vyombo vya havari vikitumika kuhakikisha ndani ya mwaka 2015...hakubaliki ndani ya chama na ndani ya CCM!