SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Najua hata wakike watakuja manake ukishaongelea haya mambo lazima mtu roho imdunde..Iko hivi...Unajua guys binafsi mimi sio muumini wa ile dhana ya dhambi zote ni sawa na nabaki kuamini kuna dhambi ndogo na kubwa..Na imani yangu inajengwa na maumivu ya kosa pamoja na 'demeanor' ya mtenda kosa..Mfano ninaamini japo wote ni wezi..lakini haiwezekani mtu aliyekuibia kuku awe charged sawa na jambazi aliyekuibia gari....pia naamini adhabu ya mtu aliekutukana haiwezi kuwa sawa na ya yule aliyekuja nyumbani kwako akambaka mkeo na kisha akaondoka na pesa zako..
Sasa nirejee kwenye mada..ni hivi wewe umeoa/au una gf..mfano umeenda kijijini labda kama kamwezi hiv..na katika kurefresh mara kanaibuka kabinti au mdada na kwa sababu uko lonely unakaimbisha na hatimaye unalamba mzigo na hakuna la zaidi pengine unamtoa na vijisenti kadhaa maisha yanaendelea..Au umekuja jijini na uko bored..katika pitapita zako unakutana na mdada..mnaelewana na unajibebea dume zako kadhaa na unaenda kutungua mzigo.. hata kama tumezoea kuihesabu as cheating..hivi hii inaweza kuwa sawa na yule aliyemkodishia nyumba mwanamke(nyumba ndogo) anamkatia fuba la kutosha na saa zingine hadi nyumba kamjengea..ukute hata kamzalisha na mtoto..na pengine pembeni ana mwanafunzi anamsomesha??..Najua wengi mtasimamia kidini..hebu tufunguke katika uhalisia wa maisha..na tujiulize hivi kweli zile 'one night stand' zinaqualify kuitwa cheating kweli'??..Hapa najua tutabishana hadi asubuhi cuz najua sisi wababa kumega nje ni sawa na wanafunzi na facebook....Tuwaambieje hawa ndugu zetu watuelewe kuwa ulikuwa ukame tu na mazingira kuwa magumu!!!
How cheating is cheating??..can we draw a clear boundary between one night stand and absolute cheating or rather any act of dating in absence of your partner is just cheating???..hivi hakunaga kucheat kudogo na kukubwa???
Sasa nirejee kwenye mada..ni hivi wewe umeoa/au una gf..mfano umeenda kijijini labda kama kamwezi hiv..na katika kurefresh mara kanaibuka kabinti au mdada na kwa sababu uko lonely unakaimbisha na hatimaye unalamba mzigo na hakuna la zaidi pengine unamtoa na vijisenti kadhaa maisha yanaendelea..Au umekuja jijini na uko bored..katika pitapita zako unakutana na mdada..mnaelewana na unajibebea dume zako kadhaa na unaenda kutungua mzigo.. hata kama tumezoea kuihesabu as cheating..hivi hii inaweza kuwa sawa na yule aliyemkodishia nyumba mwanamke(nyumba ndogo) anamkatia fuba la kutosha na saa zingine hadi nyumba kamjengea..ukute hata kamzalisha na mtoto..na pengine pembeni ana mwanafunzi anamsomesha??..Najua wengi mtasimamia kidini..hebu tufunguke katika uhalisia wa maisha..na tujiulize hivi kweli zile 'one night stand' zinaqualify kuitwa cheating kweli'??..Hapa najua tutabishana hadi asubuhi cuz najua sisi wababa kumega nje ni sawa na wanafunzi na facebook....Tuwaambieje hawa ndugu zetu watuelewe kuwa ulikuwa ukame tu na mazingira kuwa magumu!!!
How cheating is cheating??..can we draw a clear boundary between one night stand and absolute cheating or rather any act of dating in absence of your partner is just cheating???..hivi hakunaga kucheat kudogo na kukubwa???