Kipipi, nina nini nawe? wataka nikumumunye?:happy:
Hahaa FirstLady1 nilikuwa nashindwa kwa sababu za kiufundi pia uvumilivu umenishinda lol
Nimempa kaintro tu mme wangu yaliyobaki yatakuwa sapraiz tu!Heee....usianze kumwaga unga sasa....subiri tumfanyie sapraizi!!!
Hee hee hee sweetlady my darling wifiWifi wifi wifi, wifi huyooo wifi, wifi huyooo wifi lol.... kakangu Rejao hapa kapata mke, sio siri my lovely wifi Cantalisia najivunia wewe kuwa mke wa kakangu....
Huyu sweetlady ni dada yake so hapo hakuna tatizo kbs,wanaongea kifamilia zaidi!Umeona asivyo mwaminifu Rejeo wako?? Keshafika kwa wifi, hii Kali asijeleta ile maradhi
Tobaaaaaaaa wifi Cantalisia kwani nini kimetokea mpaka kaka Rejao kalimwa ban?.... furaha yote imeyeyuka duuuuh, sicheki tena, nanuna mpaka siku akifunguliwa.....Hahahahahahaha
Cantalisia my sweet wifi umenifanya nikacheka kwa sauti sio siri lol....nimecheka mpaka aibu.
mum una machale!