STRANGE: CHUO CHA KATA vs VYUO BINAFSI

Owosumbaku

Member
Jan 25, 2011
10
1
Kwa wiki kadhaa sasa kumekuwa na migomo na maamdamano kwa wanafunzi wa vyuo vyetu hapa nchini. Mwodoko huu wa migomo umesisiwa na CHUO CHETU CHA KATA-Dodoma ambacho ni kipenzi cha JK na serekali yake baada ya KUTEKELEZA ilani ya CHADEMA ya 2005-2010 kuhusu ujenzi wa DODODMA kama kituo cha elimu.

Jana ilikuwa kwa zamu ya CHUO CHA MAKUMIRA ARUSHA. Tofauti na ilivyokuwa kwa CHUO CHA KATA ambapo serekali ikiongozwa na WAZIRI MKUU illihamia huko kujaribu kutuliza ili JINA la Phd YA mkulu lisiharibike, jana SEREKALI ilitupian lawama UONGOZI wa WANAFUNZI wa Makumira kuwa wao ndio waliosababisha pesa kuchelewa toka bodi ya mikopo. "Naye Waziri wa mikopo wa serikali ya wanachuo, Emmanuel Kaaya, alikanusha kuwepo kwa uzembe katika ofisi yake na kuthibitisha kuwa, hadi sasa kuna matatizo kwenye bodi ya mikopo(www.mwananchi.co.tz).

My take: Kwa kuwa migomo yote CHANZO ni UCHELEWESHAJI au UZEMBE wa BODI YA MIKOPO, kwa nini uongozi wa serekali ya wananfunzi wa MAKUMIRA watupiwe lawama ilhali sote tunajua utendaji mbovu wa Bodi ya mikopo?

Nawakilisha
 
Be careful with your take on Universities in the country, what they current do to our people and a lot in store that they can possibly do to our community tomorrow. Changes we see today were but such a big dream and CCM kept REAPING THE COUNTRY at the back of our ignorance.

A Greater Thinker would a little be too hesitant at just hurling stones at institutions of learning without first toughly addressing what pushes them into expressing their disappointment through classroom go-slows and the very role that the brand of universities you singled out has since served in the development of our beloved nation and more so on change we want todate in Tanzania.

In fact, UDOM just did us proud the other day after denying themselves the nicities of their meagre pocket moneys to contribute to berieved families of the Arusha heroes. This is the ONLY institution that has since recognised the most valuable blood spill inArusha.

More still, those so-called private universities that you sympathetically seemed to be pouring scorns on has augemented the feeble goverment capabilities to provide quality and more accessible education than any realistic mind around can imagine.

To me, you really sound more of a CCM sell-out who has since sense a People's Power purnishment around the corner. Please, do consider cleaning up your mind.
 
Ndugu Owosumbaku; nashindwa kukuelewa unavoíita Udom chuo cha kata unatumia vigezo gani. Ungetuwekea vigezo ungetusaidia wengi. Nahofu isijekuwa ni cha kata eti kwa sababu ya mwanzilishi utakuwa umekosea sana. Unapotuwekea tu conclusions bila ufafanuz tunakuwa pia na shaka na uwezo wako. Isijekuwa wewe ndo mwenye mawazo ya kata! Dont be too biased. Ni mbaya sana kwa ulimwengu wa leo, nukta
 
Wewe vipi bwana! Tangu lini UDOM kikawa chuo cha Kata? Hope huelewi maana ya Kata na ndo maana unachanganya madesa. Na shule za Kata si ajabu ukaziita shule za Taifa/ Tarafa / Wilaya au Mkoa!!!!!!!!!!!!!
 
Critisims nazikubali, labda nikuteleza vidole lakini pia, mada hii ni muendelezo wa mada iliyopita ya tarehe 25 December, 2010

Naweka machache...


25th December 2010 11:46 AM #2

The Dreamer
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
user-offline.png

JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateMon Feb 2009LocationSkyPosts1,303Thanks312Thanked 300 Times in 199 PostsRep Power24


Did you find this post helpful? |
icon1.png
Re: Wana jf ni halali kweli udom kuitwa chuo cha kata?

Elimu siyo siasa!!!! Ni chuo cha kata na sababu hizi hapa

1) Wanagraduate bila mafunzo ya vitendo
2) Walimu wao wengi wana bachelor au masters degree (Kawaida hawa ni tutorial assistants)
3) wanaoapply hapo wengi ni wasio na matumaini vyuo vizuri hapa TZ

Labda wewe unafikiri chuo ni majengo! La hasha! Chuo ni elimu bora.

Conclusion

UDOM ni chuo cha kata mpaka hapo kitakapokuwa na walimu wenye sifa na wanafunzi bora
No society can surely be flourishing and happy, of which the far greater part of the members are poor and miserable-ADAM SMITH (A pioneer Political economist)
 
Back
Top Bottom