stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,930
- 23,185
Ifike mahali tuwafikirie na vijana wanaochipukia nao wapate madaraka,hivi mtu kama huyu ukimpa uraisi si ndio itakuwa yale ya kina Mugabe...Mzee bado hajakata tamaa na ameyatamka hayo hadharani kwenye vikao vya ccm Dodoma alipohojiwa na waandishi wa habari
View attachment 1503513