Steven Gerrard

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,753
7,845
Stevie G.B.H.
(That's Gerrard Bar-room Havoc)By GUY PATRICK

SOCCER star Steven Gerrard could face up to five years in jail after he was charged with assault last night over a punch-up in which a DJ was beaten.
Liverpool and England midfielder Gerrard, 28, was nicked with five pals after fighting broke out early yesterday

The England international - hailed as one of the world's best midfielders - was charged with two other men almost 24 hours after they were arrested in the seaside town of Southport, a police spokesman told The Associated Press on condition of anonymity in line with official policy.

The 28-year-old Gerrard had been celebrating Liverpool's emphatic 5-1 victory at Newcastle on Sunday that extended the club's lead atop the Premier League to three points.

...wapenzi wa bwawa la maini inaonekana kiduuuuuuuuuuchu humu...! habari ndio hiyo.
 
Hiki ndio kitu kinachowaharibu wachezaji wa England WALEVI mno
 
Hiki ndio kitu kinachowaharibu wachezaji wa England WALEVI mno

Lakini vijana wa mitaani nao ni wakorofi na hutaka sana kuwajaribu wachezaji. Hapa kama Gerrard ataonekana ana hatia basi atapigwa faini tu na labda kupewa probation ya miezi mitatu. Ni hazina ya Taifa na wamo katika mkakati mzito wa kwenda RSA 2010.
 
...wapenzi wa bwawa la maini inaonekana kiduuuuuuuuuuchu humu...! habari ndio hiyo.
Zamani Tz ilikuwa na wapenzi wengi wa Bwawa la maani, lakini katika miaka ishirini iliyopita wengi wamezaliwa na ambao ndio wapo kwenye mtandao na wengi wao wanaijua zaidi Manu na Chelisii.

Anyway kwetu guns tunamtakia heri ya mwaka mpya
 
Zamani Tz ilikuwa na wapenzi wengi wa Bwawa la maani, lakini katika miaka ishirini iliyopita wengi wamezaliwa na ambao ndio wapo kwenye mtandao na wengi wao wanaijua zaidi Manu na Chelisii.

Anyway kwetu guns tunamtakia heri ya mwaka mpya

Wengi walihamia Chelsea after Abromo kuinunua ile klablu na ukichangia walikuwa na miaka mingi tuu ya kufanya vibaya.....Embu tuwaulize akina Ma-Mods wetu upenzi wao ni kitambo au ndio 'wale wale'..

By the way sioni Gerady kipenzi cha Waingereza akienda Jela, sidhani..at leats atapigwa faini.
 
...wapenzi wa bwawa la maini inaonekana kiduuuuuuuuuuchu humu...! habari ndio hiyo.
Sitashangaa uchunguzi ukifanyika ukakuta kuna mkono wa Sir Alex F.
Anacheza mpira ndani na nje ya uwanja.
 
hafungwi mtu pale hata Liver nao ni wazee wa fitina,atalipa faini tu,ni mwaka wa liver huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom