Siri Sirini
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 547
- 198
Mchekeshaji Steve Mangere(steve nyerere) amefiwa na mwanaye, mtoto huyo aliyefariki ni huyu wa kiume wa sasa, ambaye pia ni watatu kwake yeye na mkewe Zawadi, wa kwanza alifariki, wa pili yupo na huyu wa tatu amefariki, pole sana Steve Nyerere, poleni wafiwa,
ila chanzo cha kifo sijajua, nikipata nitawajulisha.
SOS. Mimi mwenyewe, ni jirani yake
ila chanzo cha kifo sijajua, nikipata nitawajulisha.
SOS. Mimi mwenyewe, ni jirani yake