Githeri
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 811
- 335
Hakuna sehemu niliyosema kuwa naacha kazi kugombea ubunge ila kama kugombea ubunge au udiwani ni njia bora zaidi kuchangia maendeleo kuliko kazi vyote vinaweza kupimwa
umejibu vema
Hakuna sehemu niliyosema kuwa naacha kazi kugombea ubunge ila kama kugombea ubunge au udiwani ni njia bora zaidi kuchangia maendeleo kuliko kazi vyote vinaweza kupimwa
wabunge wengi wanaochaguliwa kuongoza RORYA wamekuwa na ubaguzi wa wazi kwa kuboresha maisha wa wananchi wa RORYA,linapokuja swala la maendeleo wabunge wote huwa wanaangalia UTEGI,SHIRATI,KINESI,Sasa swali linakuja hivi RORYA nzima maeneo hayo ndiyo pekee yanayohitaji maendeleo?Kaka kwanza nikuunge mkono kwa mema yote uliyopigania tangu nilipoanza kukusikia nikiwa kidato cha 5 hadi nilipojiunga Udsm kitivo cha sheria wakati wewe ukimalizia mwaka wako wa mwisho pale BCOM.Ninakuamini kwa kuwa daima huwa unaishi kile unachokiamini....
Mkuu,Hapo kwenye red, wewe ambaye ni makini mbona unaingia humu kwa "fake id"
Sijui msingi mzuri kwenye maisha tafsiri yake ni nini. Kamanda kaza buti.ukiona nguvu nyingi kama hizi zinatumika against wewe ujue uko sahihi....Tafsiri:
"Owawa,
Achana na mambo ya ubunge kwa sasa.
Jitahidi kwenye kazi zako, bado hujawa na msingi imara kwa maisha yako na nduguzo.
Kwa heri, ni hayo tu ndo maombi yangu kwako ndugu yangu". Mwisho wa kunukuu
My Take: Kwanini wanatumia nguvu nyingi kumzuia Owawa asigombee ubunge 2015?
Owawa I would take every discouraging comment as motivation for leading Rorya come 2015!
Kabsaaaaaaaaaaa!Sijui msingi mzuri kwenye maisha tafsiri yake ni nini. Kamanda kaza buti.ukiona nguvu nyingi kama hizi zinatumika against wewe ujue uko sahihi....
Ndo wengi wao wako huko!swali kwa mh.mgombea,kwakuwa jimbo hili la RORYA Linaongozwa kikabila sana na ubaguzi wa wazi!je,utafanya jitihada gani kutatua tatizo hili?
Kama huamini kwenye ubaguzi huna haja ya kuligawa.wabunge wengi wanaochaguliwa kuongoza RORYA wamekuwa na ubaguzi wa wazi kwa kuboresha maisha wa wananchi wa RORYA,linapokuja swala la maendeleo wabunge wote huwa wanaangalia UTEGI,SHIRATI,KINESI,Sasa swali linakuja hivi RORYA nzima maeneo hayo ndiyo pekee yanayohitaji maendeleo?kumekuwa na tabia nya kuudhi sana kwa wabunge wa RORYA kuwa ukarabati wa barabara unafanywa kwe maeneo wanayotoka wabunge husika yaani UTEGI,BUTURI,NA SHIRATI.LKN maeneo ya KURUYA,KUKONA,KISUMWA,NYANCHABAKENYE,RUHU,Kwa kutaja machache,wananchi wa huko hawawajali mpaka ifike uchaguzi ndo wanapewa tyubu za baiskeli na kununuliwa pombe hivi hii ni haki?ligi zote za mpira wa miguu zinachezwa huko huko BUTURI,KOWAK,UTEGI,NA SHIRATI.KWANINI IWE HIVYO?Sasa basi imefika wakati tuligawe jimbo hili la RORYA kuwa majimbo mawili ili na sisi wananchi wa maeneo tengwa tupate uwakilishi!kwasababu jimbo hili linaendeshwa kikabila mno..,tusubiri kidogo kitaeleweka tu:spy:
Wapi?Gate crasher ache upuuzi wa kuandika kilugha . Fanya heshima
Kama kugombea ni njia bora ya kukomboa wananchi kuliko kazi,ni bora kupoteza kazi kwa kushiriki ukombozi zaidi.
Ndo wengi wao wako huko!
Ushawahi kusikia msukuma kawa mbunge mbeya?
au mzaramo kawa mbunge kagera?
Ngumu usivotaka kukubali, mambo mengine hayaepukiki
Na mimi nataka kugombea Mtera kupitia CDM sijui nitapambana na Lusinde au Le Mutuz naomba kura zenu
1.Makongoro Mahanga (Mara) - Segerea/Ukonga
2.Aden Rage (Msomali) - Tabora Mjini
3.Makongoro Nyerere (Mara) -Arusha mjini
4.Augustine Mrema (Kilimanjaro) - Temeke
5. Vincent Nyerere (Butiama) - Musoma Mjina
6.Hezekia Wenje (Rorya)-Mwanza/Nyamagana
7.Hainess Kiwia (Kilimanjaro) - Ilemela
8. Kibaso (Mara/Rorya) - Temeke
9.Rostam Aziz (Lebanon) - Igunga
10. Halima Mdee (Arusha/Kilimanjaro) - Kawe
11.etc
Majimbo mengine watanisaidia wengine...kwa hio mkuu inawezekana, hata OwawaJr akitaka Bunda atapata tu, ili mradi bro wake wa pale Bunda town anawezaanza fanya networks au hata huko huko Bukoba anaweza anza kufanya kweli, sie tunajari ukombozi kwanza and asili si priority!
Owawa si mbaya sana,,,!,,,
ILA AJIFUNDISHE KUPATA MAWAZO MBADALA TOKA KWA WENZAKE , MAANA NINAVYOMFAHAMU ANACHOKIAMINI YEYE MARA NYINGI HUWA HAPENDI MWINGINE AMBISHIE ILO NI HATARI MAANA MCHANGANYIKO WA MAWAZO NDIO KUJENGA KITU KIZURI ZAIDI
owawa kaza buti but fahamu 2015 watu wengi tuko safarini kuelekea rorya kulikomboa jimbo,binafsi nitagombea kupitia cdm,,nimehitimu udom,nina ambition na nia ya kulikomboa jimbo nikiwa na sera ya rorya kwanza,,,maana yake ni ipi??yoyote atakae shinda kura ya maoni nitamuunga mkono kwa moyo safi kwa kutumia nguvu na fadha yangu ilimradi awe anaipenda cdm,rorya na kuthibitisha kua anaichukia ccm...mimi tayari nimeshaanza mchakato kwa kata za tai na bukura...nami ni mkazi wa sota,,,,owawa goooooooooooooooo.......karibu tufanye siasa natutawasiliana mapema ili kujipanga kwani hatugombei ufito.....wapendwa wana jf kuna post iliyoomba cv yangu kwa madai kuwa alikuwa katika utafiti katika wilaya yetu ya rorya na kuzua baadhi ya maswali na majibu ya ukweli kutoka kwa watu tunaofamhamiana katika harakati,nashukuru kwa wale walionipigia simu na wale wote waliotoa majibu ya ukweli kwa kile wananchokijua juu yangu,bado nadhani kuna baadhi ya mambo humu yanahitaji majibu kutoka kwangu au kusema ukweli ili ukweli utuweke huru japo kuna ya kujibu hasa yale ya msingi ila siyo kujibu ya uongo.naomba kujibu haya:
- jina: Stephen juma johnson owawa
- nilipo: Bukoba-kagera
- kazi:mkaguzi (auditor) ofisi ya taifa ya ukaguzi
- elimu: Primary-ratia primary school-rorya,sekondary-arwing secondary school-dsm,a-level-shycom shinyanga-eca,chuo,university of dar es salaam (b.com-accounting)
- kuhusu kumaliza chuo:nimemaliza udsm 2010 baada ya kufukuzwa mara nyingi kutokana na kupinga sera ya elimu ya juu hasa mfumo dhania ya uchangiaji
- kushiririki uchaguzi jimbo la rorya 2010: Nilishiriki katika uchaguzi kupitia chadema kama mratibu wa kampeni wa mgombea ubunge martin ochola ndira kuanzia kuhame kwake nccr kuja chadema na kushiriki kwa mwezi moja kwenye kampeni
- kugombea ubunge rorya: Ni haki ya kikatiba kwa mtu yeyote ili mradi atimize matakwa ya sheria
wana jf kama kuna maswali ya msingi na ya ukweli yanayostahili kujibiwa nitayajibu kwa maana ya ukweli wake nilionao na uhalisia wake kutoka kwangu.
Naomba kuwasilisha.
Darisalama ni nyumbani kwa kila mtu!1.Makongoro Mahanga (Mara) - Segerea/Ukonga
2.Aden Rage (Msomali) - Tabora Mjini
3.Makongoro Nyerere (Mara) -Arusha mjini
4.Augustine Mrema (Kilimanjaro) - Temeke
5. Vincent Nyerere (Butiama) - Musoma Mjina
6.Hezekia Wenje (Rorya)-Mwanza/Nyamagana
7.Hainess Kiwia (Kilimanjaro) - Ilemela
8. Kibaso (Mara/Rorya) - Temeke
9.Rostam Aziz (Lebanon) - Igunga
10. Halima Mdee (Arusha/Kilimanjaro) - Kawe
11.etc
!
iwuoyo!
Darisalama ni nyumbani kwa kila mtu!