Moja kwa moja kwenye mada.
Stendi ya Mabasi Sengerema ni moja ya stendi inayohudumia magari mengi kwa siku. Magari yote yanayokwenda mikoa ya Kigoma, kagera, Geita na wilaya zake kutoka Mwanza yanapita hapo.
Kinachosikitisha stendi imejaa mashimo kama majaruba, gari zinapita kwa shida, Ushuru wanachukua kama kawaida.
Je, Halmashauri ya Sengerema haioni kadhia hii hadi Waziri Mkuu atembelee huko? Viongozi, Madiwani muwe waungwana.
Stendi ya Mabasi Sengerema ni moja ya stendi inayohudumia magari mengi kwa siku. Magari yote yanayokwenda mikoa ya Kigoma, kagera, Geita na wilaya zake kutoka Mwanza yanapita hapo.
Kinachosikitisha stendi imejaa mashimo kama majaruba, gari zinapita kwa shida, Ushuru wanachukua kama kawaida.
Je, Halmashauri ya Sengerema haioni kadhia hii hadi Waziri Mkuu atembelee huko? Viongozi, Madiwani muwe waungwana.