St. Florence Academy: Mabasi mabovu, Wanafunzi kusimama katika school bus si halali

Shangazi

JF-Expert Member
Mar 24, 2009
307
29
Kwanza, mabasi ya wanafunzi ya shule hii ni mabovu kiasi cha kushangaza kiasi cha kutishia usalama wa watoto wetu.

Pili, Wanafunzi wanajaa sana kwenye mabasi kinyume na sheria za usalama barabarani ilhali wote wamelipa hela sawa ya usafiri. Pata picha mtoto mdogo wa darasa la kwanza au pili aliyeamka saa 11 alfajiri akiwa anarudi nyumbani saa kumi jioni amechoka huku amesimama na gari ikitumbukia katika barabara mbovu za sinza zenye mahandaki. This is not fair!

Je? huu ni uungwana?
 
nENDA KAMWELE MKUU WA SHULE ,USIANDIKE HAPA UNLESS UNATAKA KUMWARIBIA BIASHARA.NENDA STRAIGHT SHULENI KWAO PELEKA MALALAMIKO
 
nENDA KAMWELE MKUU WA SHULE ,USIANDIKE HAPA UNLESS UNATAKA KUMWARIBIA BIASHARA.NENDA STRAIGHT SHULENI KWAO PELEKA MALALAMIKO


Nipeleke malalamiko mara ngapi ndio nije kuandika hapa. Malalamiko kwa maandishi na mdomo wala si mara moja. Hapa ni just ku share na wazazi wenzangu na wewe si lazima uchangie
 
Nipeleke malalamiko mara ngapi ndio nije kuandika hapa. Malalamiko kwa maandishi na mdomo wala si mara moja. Hapa ni just ku share na wazazi wenzangu na wewe si lazima uchangie
Pole basi kama shule yenyewe haisikilizi malalamiko ya wazazi inabidi uchukue hatua ,ama kumwamisha mtoto au kuripoti polisi pindi uonapo gari limejaa na watoto wamesimama.Watoto ni kama abiria wengine tu sheria inasema wote wanatakiwa wawe kwenye vitu .Sasa hapo kwa jeshi letu huwa wawazingatii hii sheria kabisa watakuambia kuna upungufu wa mabasi au rasilimali
 
Kwanza, mabasi ya wanafunzi ya shule hii ni mabovu kiasi cha kushangaza kiasi cha kutishia usalama wa watoto wetu.

Pili, Wanafunzi wanajaa sana kwenye mabasi kinyume na sheria za usalama barabarani ilhali wote wamelipa hela sawa ya usafiri. Pata picha mtoto mdogo wa darasa la kwanza au pili aliyeamka saa 11 alfajiri akiwa anarudi nyumbani saa kumi jioni amechoka huku amesimama na gari ikitumbukia katika barabara mbovu za sinza zenye mahandaki. This is not fair!

Je? huu ni uungwana?

hapa mzazi na wewe utakuwa na matatizo, unakubalije mtoto wa darasa la kwanza aamke saa 11 na kurudi saa 10 jioni?

Je ni lazima umpeleke mtoto shule hiyo? kwa nini hukufanya utafiti wa kutosha kabla ya kumpeleka shule hiyo? Unakubalije mwanao kutumia gari mbayo unajua fika usalama ni mdogo/

Sisi wazazi kuna wakati hatutimizi majukumu yetu kama wazazi halafu tuwanatupia lawama mashuleni.

Assume wazazi wote wagome kutumia huo usafiri, unadhani mwenye shule ataendelea na hiyo service sijui biashara?

Ninatoa huduma ya kuwapeleka watoto shule na kuwarudisha nyumbani kwa cost ya Tshs 20,000 kwa siku kama unaishi maeneo ya Mikocheni, Sinza, Makumbusho, Kijitonyama, Mwenge.
 
Niseme ni mpangilio mbaya tu wa route na gari kuwajibika kuwapitia watoto weeengi. Nilimpeleka mtoto shule hiyo nikijua sinza na mikocheni ni karibu hivyo hataamka mapema matokeo anachukuliwa saa 12 kamili na anazunguka kwenye gari mpaka 1.30 ndio anafika shule. Na mashimo ya sinza basi ni balaa. Naamini kama gari ingebeba wanafunzi wachache maana yake angechukuliwa hata moja kasoro ila ndio shule iko kibiashara zaidi na si haki.
 
Niseme ni mpangilio mbaya tu wa route na gari kuwajibika kuwapitia watoto weeengi. Nilimpeleka mtoto shule hiyo nikijua sinza na mikocheni ni karibu hivyo hataamka mapema matokeo anachukuliwa saa 12 kamili na anazunguka kwenye gari mpaka 1.30 ndio anafika shule. Na mashimo ya sinza basi ni balaa. Naamini kama gari ingebeba wanafunzi wachache maana yake angechukuliwa hata moja kasoro ila ndio shule iko kibiashara zaidi na si haki.

gari ikibeba wanafunzi wachache means you have to pay more to cover the fixed running costs.

Halfu issue nyingine wazazi pia muwajibike, kwani ni lazima utumie school bus kupeleka mwanao shule? Je umeshawasiliana na wazazi wenzio wenye watoto shuleni hapo mkajadiliana cha kufanya kuepukana na matatzio hayo ya usafiri? Au mnaendelea kuvumilia hadi janga litokee?
 
gari ikibeba wanafunzi wachache means you have to pay more to cover the fixed running costs.

Halfu issue nyingine wazazi pia muwajibike, kwani ni lazima utumie school bus kupeleka mwanao shule? Je umeshawasiliana na wazazi wenzio wenye watoto shuleni hapo mkajadiliana cha kufanya kuepukana na matatzio hayo ya usafiri? Au mnaendelea kuvumilia hadi janga litokee?


Ushauri mzuri wa kuunganisha nguvu wanafunzi wa jirani. Its too much for the kids!
 
wamiliki wa shule waige kwa shule nyinginezo jinsi walivyo makini ktk usafiri
 
Issue ya usafiri shule hii hata mimi kwangu ni kero. Mwanangu wa kwanza kuchukuliwa na wa mwisho kurudishwa na wale wanafunzi wakubwa wakati wa kurudi huweka mabegi kuwahi seat na mwanangu ananiambia everyday wakati wa kurudi husimama na one day alisinzia na kuanguka ndani ya basi. Nilimwambia transport officer akasema atashughulikia lakina wapi. Nimeshakumbushia wee lakini kaputi mpaka leo. Yaani inaniuma sana sana hapa nalia mwenzenu:A S confused:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom