Kwanza, mabasi ya wanafunzi ya shule hii ni mabovu kiasi cha kushangaza kiasi cha kutishia usalama wa watoto wetu.
Pili, Wanafunzi wanajaa sana kwenye mabasi kinyume na sheria za usalama barabarani ilhali wote wamelipa hela sawa ya usafiri. Pata picha mtoto mdogo wa darasa la kwanza au pili aliyeamka saa 11 alfajiri akiwa anarudi nyumbani saa kumi jioni amechoka huku amesimama na gari ikitumbukia katika barabara mbovu za sinza zenye mahandaki. This is not fair!
Je? huu ni uungwana?
Pili, Wanafunzi wanajaa sana kwenye mabasi kinyume na sheria za usalama barabarani ilhali wote wamelipa hela sawa ya usafiri. Pata picha mtoto mdogo wa darasa la kwanza au pili aliyeamka saa 11 alfajiri akiwa anarudi nyumbani saa kumi jioni amechoka huku amesimama na gari ikitumbukia katika barabara mbovu za sinza zenye mahandaki. This is not fair!
Je? huu ni uungwana?