adblocker yah nazijua si unazipa resolution ya banner la ads au kuna nyengine zina detect automatic?
Then mcafee pia inafanya hivo kwenye website isio zitrust kama pirate bay
Hehe mimi pia natumia adblock mkuu, sioni tangazo lolote kama wewe. That's the difference hapo.
mwaka 2010 mpaka 2011 nilikuwa naongeza mwenyewe, lakini siku hizi inafanya automatic disable ya ads. nazichukia mno ads haswa za google search, fb na youtube.