roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,484
- 2,572
Mheshimiwa hii kauli uliyoitoa bungeni huenda ikaleta migogoro katika jamii.
Nina uhakika hujui ulichokiongea au hujakifanyia tafakari ya kutosha!
Ninachofuata hapo watakao pata hizo nafasi za kujitolea huko halmashauri watakuwa ni wazito tu! Sio makapuku ninaowajua mimi hata kama Wana uwezo, nafasi zitakuwa za watu Fulani Fulani tu.
Nashauri,kujitolea isiwe added advantage ,Kwa kuwa nafasi za kujitolea ni chache mno ukilinganisha na wahitimu.
Acha watu wapambane kwenye usaili .
Nina uhakika hujui ulichokiongea au hujakifanyia tafakari ya kutosha!
Ninachofuata hapo watakao pata hizo nafasi za kujitolea huko halmashauri watakuwa ni wazito tu! Sio makapuku ninaowajua mimi hata kama Wana uwezo, nafasi zitakuwa za watu Fulani Fulani tu.
Nashauri,kujitolea isiwe added advantage ,Kwa kuwa nafasi za kujitolea ni chache mno ukilinganisha na wahitimu.
Acha watu wapambane kwenye usaili .