johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,979
- 141,996
Bunge ni la CCM na Jina la Spika limeletwa Bungeni na Kamati Kuu ya CCM inayoongozwa na Mwenyekiti wa CCM ambaye ndiye Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye naye pia ni sehemu ya Bunge kwa mujibu wa Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
Wabunge pambaneni na Ufisadi, msituletee maigizo.
Ramadan Kareem!
Wabunge pambaneni na Ufisadi, msituletee maigizo.
Ramadan Kareem!