Spika Tulia Ackson, ruhusu bunge liwe huru kuchakata taarifa ya CAG, kisha lichukue hatua. Itakujengea heshima kubwa sana nchini

thetallest

JF-Expert Member
Oct 21, 2017
8,256
9,085
Ndugu Dr Tulia Ackson Mwansasu,spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania na uongozi mzima wa bunge letu,kichwa cha habari kimejieleza vyema.

Ripoti ya CAG imejaa madudu mengi sana kuhusiana na ubadhirifu wa fedha za umma ndani ya serikali, hii haikubaliki hata kidogo, kwasababu ubadhirifu huo unadumaza nchi na wananchi kwa ujumla,kadhalika ubadhirifu huo unafanya wananchi wakose imani kwa rais Samia na CCM kupoteza mvuto.

Kwakua serikali inasiku ishirini na moja kujibu hoja hizo za CAG tusubiri, japokuwa muda wa kutosha serikali ilikuwa nao hata kabla CAG hajaiweka hadharani ripoti hiyo ya ukaguzi, ,kwangu mimi binafsi sidhani kama wanamajibu ya kutosha kuhusiana na tuhuma hizo , kudumisha utawala bora acha tusubiri kuona jipya.

Ndugu Spika wananchi wanalalamikia ubadhirifu huo kwa uchungu mkubwa sana, wapo ambao wanakata tamaa ya kulipa kodi,wakiamini watalipa ili zikatafunwe na wajanja wachache serikalini.ikumbukwe serikali inajiendesha kwa kodi mbalimbali.kukosekana kwa kodi hakuna ambacho serikali itafanya.

Nikuombe ndugu Spika, japo bunge limejaa wabunge wengi wa ccm, lakini kuna wabunge ambao hawakubaliani na ubadhirifu huo ,wape nafasi waisimamie serikali kisawasawa, kufanya hivyo utamsaidia rais Samia, chama chako,. nchi, na wananchi kwa ujumla, si watumishi wote wa serikali wanahusika na ubadhirifu huo ,bali kuna wahuni wachache ndani ya serikali wanaichafua serikali nzima kwa tamaa zao,hawa toa nafasi kwa bunge lishughulike nao,na ndio wajibu wake,pasiwepo na biashara ya kulindana,ikumbukwe tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu 2025,ni vyema kufika serikali na chama vikiwa visafi.

Na kama hoja za serikali zitakuwa dhaifu kama CAG alivyoripoti ni vyema ikaundwa kamati teule ya bunge yenye wazalendo na wanaogopa mungu wachunguze tuhuma hizo,ili kuleta tumaini kwa watanzania.


Nawsilisha
 
Ndugu Dr Tulia Ackson Mwansasu,spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania na uongozi mzima wa bunge letu,kichwa cha habari kimejieleza vyema.

Ripoti ya CAG imejaa madudu mengi sana kuhusiana na ubadhirifu wa fedha za umma ndani ya serikali, hii haikubaliki hata kidogo, kwasababu ubadhirifu huo unadumaza nchi na wananchi kwa ujumla,kadhalika ubadhirifu huo unafanya wananchi wakose imani kwa rais Samia na CCM kupoteza mvuto.

Kwakua serikali inasiku ishirini na moja kujibu hoja hizo za CAG tusubiri, japokuwa muda wa kutosha serikali ilikuwa nao hata kabla CAG hajaiweka hadharani ripoti hiyo ya ukaguzi, ,kwangu mimi binafsi sidhani kama wanamajibu ya kutosha kuhusiana na tuhuma hizo , kudumisha utawala bora acha tusubiri kuona jipya.

Ndugu Spika wananchi wanalalamikia ubadhirifu huo kwa uchungu mkubwa sana, wapo ambao wanakata tamaa ya kulipa kodi,wakiamini watalipa ili zikatafunwe na wajanja wachache serikalini.ikumbukwe serikali inajiendesha kwa kodi mbalimbali.kukosekana kwa kodi hakuna ambacho serikali itafanya.

Nikuombe ndugu Spika, japo bunge limejaa wabunge wengi wa ccm, lakini kuna wabunge ambao hawakubaliani na ubadhirifu huo ,wape nafasi waisimamie serikali kisawasawa, kufanya hivyo utamsaidia rais Samia, chama chako,. nchi, na wananchi kwa ujumla, si watumishi wote wa serikali wanahusika na ubadhirifu huo ,bali kuna wahuni wachache ndani ya serikali wanaichafua serikali nzima kwa tamaa zao,hawa toa nafasi kwa bunge lishughulike nao,na ndio wajibu wake,pasiwepo na biashara ya kulindana,ikumbukwe tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu 2025,ni vyema kufika serikali na chama vikiwa visafi.

Na kama hoja za serikali zitakuwa dhaifu kama CAG alivyoripoti ni vyema ikaundwa kamati teule ya bunge yenye wazalendo na wanaogopa mungu wachunguze tuhuma hizo,ili kuleta tumaini kwa watanzania.


Nawsilisha
Huu ndiyo uzuri wa Vyama vingi. Hapa ndiyo kambi ya upinzani ingeingia kazini. KUB hupewa nafasi ya kwanza na muhimu kuchambua CAG Report, au Kivuli wake wa Fedha. Lakini hapa hatuna KUB wala mdogo wake KUB wala Kivuli. CHADEMA walivulunda walipomteua tundulissu kugombea kwa Ilani ya matusi na usaliti wa nchi makanikia leo hawana hiki wala kile wanategemea hisani ya Dr Ackson au akina Mhe Luhaga Mpina kejeri zao wawasemee. Kwa nini tu dulissu bado yuko kazini si angeachia ngazi baada ya matokeo kutangazwa?
 
Bunge walipie katika visimbuzi vyote ili channel yao iingie huko, Azam, Star Times na kwingine
 
Ndugu Dr Tulia Ackson Mwansasu,spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania na uongozi mzima wa bunge letu,kichwa cha habari kimejieleza vyema.

Ripoti ya CAG imejaa madudu mengi sana kuhusiana na ubadhirifu wa fedha za umma ndani ya serikali, hii haikubaliki hata kidogo, kwasababu ubadhirifu huo unadumaza nchi na wananchi kwa ujumla,kadhalika ubadhirifu huo unafanya wananchi wakose imani kwa rais Samia na CCM kupoteza mvuto.

Kwakua serikali inasiku ishirini na moja kujibu hoja hizo za CAG tusubiri, japokuwa muda wa kutosha serikali ilikuwa nao hata kabla CAG hajaiweka hadharani ripoti hiyo ya ukaguzi, ,kwangu mimi binafsi sidhani kama wanamajibu ya kutosha kuhusiana na tuhuma hizo , kudumisha utawala bora acha tusubiri kuona jipya.

Ndugu Spika wananchi wanalalamikia ubadhirifu huo kwa uchungu mkubwa sana, wapo ambao wanakata tamaa ya kulipa kodi,wakiamini watalipa ili zikatafunwe na wajanja wachache serikalini.ikumbukwe serikali inajiendesha kwa kodi mbalimbali.kukosekana kwa kodi hakuna ambacho serikali itafanya.

Nikuombe ndugu Spika, japo bunge limejaa wabunge wengi wa ccm, lakini kuna wabunge ambao hawakubaliani na ubadhirifu huo ,wape nafasi waisimamie serikali kisawasawa, kufanya hivyo utamsaidia rais Samia, chama chako,. nchi, na wananchi kwa ujumla, si watumishi wote wa serikali wanahusika na ubadhirifu huo ,bali kuna wahuni wachache ndani ya serikali wanaichafua serikali nzima kwa tamaa zao,hawa toa nafasi kwa bunge lishughulike nao,na ndio wajibu wake,pasiwepo na biashara ya kulindana,ikumbukwe tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu 2025,ni vyema kufika serikali na chama vikiwa visafi.

Na kama hoja za serikali zitakuwa dhaifu kama CAG alivyoripoti ni vyema ikaundwa kamati teule ya bunge yenye wazalendo na wanaogopa mungu wachunguze tuhuma hizo,ili kuleta tumaini kwa watanzania.


Nawsilisha
Kipindi cha ukaguzi walipewa muda wa kujibu hoja za mkaguzi hivyo muda huu ni Bunge kuchukua hatua kali na kutoa maazimio.maswala ya kuwapa sijui nafasi tena na tena wajibu , haitakiwi maana muda unakwenda na bajeti inatakiwa ijadiliwe kipindi hiki kwa maslahi ya wananchi.zile taasisi zilizofuuja fedha na ikadhibitika zinyimwe au kupunguziwa mafungu ili fedha nyingi na kwa usamizi thabiti ziende kwenye sekta zinazogusa Maisha ya watu kama Tarura,Tanroads, elimu,afyA etc. Kwa Mf. Tarura inahitaji mafungu maana hali ya barabara ni mbaya,nyingi ni za udongo na changarawe mvua zikianza tu kwa heri.sasa hakuna haja ya kuapprove hela kwenye sekta zilizo na upigaji ukaacha zinazogusa wananchi.Ramadan kareem.
 
Huu ndiyo uzuri wa Vyama vingi. Hapa ndiyo kambi ya upinzani ingeingia kazini. KUB hupewa nafasi ya kwanza na muhimu kuchambua CAG Report, au Kivuli wake wa Fedha. Lakini hapa hatuna KUB wala mdogo wake KUB wala Kivuli. CHADEMA walivulunda walipomteua tundulissu kugombea kwa Ilani ya matusi na usaliti wa nchi makanikia leo hawana hiki wala kile wanategemea hisani ya Dr Ackson au akina Mhe Luhaga Mpina kejeri zao wawasemee. Kwa nini tu dulissu bado yuko kazini si angeachia ngazi baada ya matokeo kutangazwa?
Tundu Lissu alimtukana nani? Ilani ya CHADEMA ya matusi ni ipi? Je unaweza uka attach copy yake hapa?

Je umesahau uchaguzi jinsi ambavyo haukua huru na wa haki?
Je umesahà watu walivyoingizwa bungeni kinyemela eti wamepita bila kupingwa?
Umesahau vituo vilivyoshangazwa na idadi ya kura nyingi kuliko idadi ya wapiga kura?
Umesahau Magufuli alivyotoa maagizo kuwa mkurugenzi yeyote wa wilaya na wa mkoa atakayemtangaza mshindi kutoka upinzani ajira yake itafutwa instantly? Au hadi ukumbushwe kwa video?
 
Ndugu Dr Tulia Ackson Mwansasu,spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania na uongozi mzima wa bunge letu,kichwa cha habari kimejieleza vyema.

Ripoti ya CAG imejaa madudu mengi sana kuhusiana na ubadhirifu wa fedha za umma ndani ya serikali, hii haikubaliki hata kidogo, kwasababu ubadhirifu huo unadumaza nchi na wananchi kwa ujumla,kadhalika ubadhirifu huo unafanya wananchi wakose imani kwa rais Samia na CCM kupoteza mvuto.

Kwakua serikali inasiku ishirini na moja kujibu hoja hizo za CAG tusubiri, japokuwa muda wa kutosha serikali ilikuwa nao hata kabla CAG hajaiweka hadharani ripoti hiyo ya ukaguzi, ,kwangu mimi binafsi sidhani kama wanamajibu ya kutosha kuhusiana na tuhuma hizo , kudumisha utawala bora acha tusubiri kuona jipya.

Ndugu Spika wananchi wanalalamikia ubadhirifu huo kwa uchungu mkubwa sana, wapo ambao wanakata tamaa ya kulipa kodi,wakiamini watalipa ili zikatafunwe na wajanja wachache serikalini.ikumbukwe serikali inajiendesha kwa kodi mbalimbali.kukosekana kwa kodi hakuna ambacho serikali itafanya.

Nikuombe ndugu Spika, japo bunge limejaa wabunge wengi wa ccm, lakini kuna wabunge ambao hawakubaliani na ubadhirifu huo ,wape nafasi waisimamie serikali kisawasawa, kufanya hivyo utamsaidia rais Samia, chama chako,. nchi, na wananchi kwa ujumla, si watumishi wote wa serikali wanahusika na ubadhirifu huo ,bali kuna wahuni wachache ndani ya serikali wanaichafua serikali nzima kwa tamaa zao,hawa toa nafasi kwa bunge lishughulike nao,na ndio wajibu wake,pasiwepo na biashara ya kulindana,ikumbukwe tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu 2025,ni vyema kufika serikali na chama vikiwa visafi.

Na kama hoja za serikali zitakuwa dhaifu kama CAG alivyoripoti ni vyema ikaundwa kamati teule ya bunge yenye wazalendo na wanaogopa mungu wachunguze tuhuma hizo,ili kuleta tumaini kwa watanzania.


Nawsilisha
Hızı kelele hazikusika wakati CAG Profesa Assad amegundua wizi wa trilioni 1.5. Wabunge wengi wa CCM ni wanafiki. Kanuni za Bunge zipo wazi ni lazima kwanza Kamati zichambue report ndio iwasilishwe Bungeni. Nyege za kutaka report ijadiliwe bila utaratibu ni hila za kundi fulani lenye maslahi fichika.
 
Katika kitu hatari mbunge wa CCM anaweza kujaribu ni kumwondoa spika. Ni sawa na kuonja sumu.
Anaondolewa na anachaguliwa Mwingine kutoka CCM . Hata Rais anaweza kuondolewa na akachaguliwa Mwingine kutoka CCM.

CCM ni chama kikubwa ukilinganisha na vyama vingine vya siasa.
 
T
Ndugu Dr Tulia Ackson Mwansasu,spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania na uongozi mzima wa bunge letu,kichwa cha habari kimejieleza vyema.

Ripoti ya CAG imejaa madudu mengi sana kuhusiana na ubadhirifu wa fedha za umma ndani ya serikali, hii haikubaliki hata kidogo, kwasababu ubadhirifu huo unadumaza nchi na wananchi kwa ujumla,kadhalika ubadhirifu huo unafanya wananchi wakose imani kwa rais Samia na CCM kupoteza mvuto.

Kwakua serikali inasiku ishirini na moja kujibu hoja hizo za CAG tusubiri, japokuwa muda wa kutosha serikali ilikuwa nao hata kabla CAG hajaiweka hadharani ripoti hiyo ya ukaguzi, ,kwangu mimi binafsi sidhani kama wanamajibu ya kutosha kuhusiana na tuhuma hizo , kudumisha utawala bora acha tusubiri kuona jipya.

Ndugu Spika wananchi wanalalamikia ubadhirifu huo kwa uchungu mkubwa sana, wapo ambao wanakata tamaa ya kulipa kodi,wakiamini watalipa ili zikatafunwe na wajanja wachache serikalini.ikumbukwe serikali inajiendesha kwa kodi mbalimbali.kukosekana kwa kodi hakuna ambacho serikali itafanya.

Nikuombe ndugu Spika, japo bunge limejaa wabunge wengi wa ccm, lakini kuna wabunge ambao hawakubaliani na ubadhirifu huo ,wape nafasi waisimamie serikali kisawasawa, kufanya hivyo utamsaidia rais Samia, chama chako,. nchi, na wananchi kwa ujumla, si watumishi wote wa serikali wanahusika na ubadhirifu huo ,bali kuna wahuni wachache ndani ya serikali wanaichafua serikali nzima kwa tamaa zao,hawa toa nafasi kwa bunge lishughulike nao,na ndio wajibu wake,pasiwepo na biashara ya kulindana,ikumbukwe tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu 2025,ni vyema kufika serikali na chama vikiwa visafi.

Na kama hoja za serikali zitakuwa dhaifu kama CAG alivyoripoti ni vyema ikaundwa kamati teule ya bunge yenye wazalendo na wanaogopa mungu wachunguze tuhuma hizo,ili kuleta tumaini kwa watanzania.


Nawsilisha
Tatizo kanuni zinawabana maana taarifa ya CAG ratiba yake ni mwezi Novemba..

Saizi ni Bajeti ila Ili mambo yaendele sawa nilisema Kila Waziri anapokuja bungeni kusoma Bajeti yake aje na majibu ya CAG na akizingua hakuna Kupitisha Bajeti yake.
 
Tundu Lissu alimtukana nani? Ilani ya CHADEMA ya matusi ni ipi? Je unaweza uka attach copy yake hapa?

Je umesahau uchaguzi jinsi ambavyo haukua huru na wa haki?
Je umesahà watu walivyoingizwa bungeni kinyemela eti wamepita bila kupingwa?
Umesahau vituo vilivyoshangazwa na idadi ya kura nyingi kuliko idadi ya wapiga kura?
Umesahau Magufuli alivyotoa maagizo kuwa mkurugenzi yeyote wa wilaya na wa mkoa atakayemtangaza mshindi kutoka upinzani ajira yake itafutwa instantly? Au hadi ukumbushwe kwa video?
Ila kwenye suala la uchaguzi wa 2020..mtembeazake alionyesha immaturity ya kiwango cha juu sana.
 
Huu ndiyo uzuri wa Vyama vingi. Hapa ndiyo kambi ya upinzani ingeingia kazini. KUB hupewa nafasi ya kwanza na muhimu kuchambua CAG Report, au Kivuli wake wa Fedha. Lakini hapa hatuna KUB wala mdogo wake KUB wala Kivuli. CHADEMA walivulunda walipomteua tundulissu kugombea kwa Ilani ya matusi na usaliti wa nchi makanikia leo hawana hiki wala kile wanategemea hisani ya Dr Ackson au akina Mhe Luhaga Mpina kejeri zao wawasemee. Kwa nini tu dulissu bado yuko kazini si angeachia ngazi baada ya matokeo kutangazwa?
Ulianza vzr kana kwamba una akili kumbe na ww ndo wale wale sukuma gang

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu Dr Tulia Ackson Mwansasu,spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania na uongozi mzima wa bunge letu,kichwa cha habari kimejieleza vyema.

Ripoti ya CAG imejaa madudu mengi sana kuhusiana na ubadhirifu wa fedha za umma ndani ya serikali, hii haikubaliki hata kidogo, kwasababu ubadhirifu huo unadumaza nchi na wananchi kwa ujumla,kadhalika ubadhirifu huo unafanya wananchi wakose imani kwa rais Samia na CCM kupoteza mvuto.

Kwakua serikali inasiku ishirini na moja kujibu hoja hizo za CAG tusubiri, japokuwa muda wa kutosha serikali ilikuwa nao hata kabla CAG hajaiweka hadharani ripoti hiyo ya ukaguzi, ,kwangu mimi binafsi sidhani kama wanamajibu ya kutosha kuhusiana na tuhuma hizo , kudumisha utawala bora acha tusubiri kuona jipya.

Ndugu Spika wananchi wanalalamikia ubadhirifu huo kwa uchungu mkubwa sana, wapo ambao wanakata tamaa ya kulipa kodi,wakiamini watalipa ili zikatafunwe na wajanja wachache serikalini.ikumbukwe serikali inajiendesha kwa kodi mbalimbali.kukosekana kwa kodi hakuna ambacho serikali itafanya.

Nikuombe ndugu Spika, japo bunge limejaa wabunge wengi wa ccm, lakini kuna wabunge ambao hawakubaliani na ubadhirifu huo ,wape nafasi waisimamie serikali kisawasawa, kufanya hivyo utamsaidia rais Samia, chama chako,. nchi, na wananchi kwa ujumla, si watumishi wote wa serikali wanahusika na ubadhirifu huo ,bali kuna wahuni wachache ndani ya serikali wanaichafua serikali nzima kwa tamaa zao,hawa toa nafasi kwa bunge lishughulike nao,na ndio wajibu wake,pasiwepo na biashara ya kulindana,ikumbukwe tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu 2025,ni vyema kufika serikali na chama vikiwa visafi.

Na kama hoja za serikali zitakuwa dhaifu kama CAG alivyoripoti ni vyema ikaundwa kamati teule ya bunge yenye wazalendo na wanaogopa mungu wachunguze tuhuma hizo,ili kuleta tumaini kwa watanzania.


Nawsilisha

Hata akiruhusu bunge live, bado wananchi wengi wamelipuuza hilo bunge kibogoyo la majizi ya kura. Usitegemee lolote la maana toka kwa majizi ya kura. Isitoshe hao wabunge hawana nguvu hiyo ya kumtisha yoyote, kwani hata wao wako bungeni kwa wizi pia.
 
Hata akiruhusu bunge live, bado wananchi wengi wamelipuuza hilo bunge kibogoyo la majizi ya kura. Usitegemee lolote la maana toka kwa majizi ya kura. Isitoshe hao wabunge hawana nguvu hiyo ya kumtisha yoyote, kwani hata wao wako bungeni kwa wizi pia.
Hili bunge ni sehemu ya tatizo kubwa haswa
 
Kipindi cha ukaguzi walipewa muda wa kujibu hoja za mkaguzi hivyo muda huu ni Bunge kuchukua hatua kali na kutoa maazimio.maswala ya kuwapa sijui nafasi tena na tena wajibu , haitakiwi maana muda unakwenda na bajeti inatakiwa ijadiliwe kipindi hiki kwa maslahi ya wananchi.zile taasisi zilizofuuja fedha na ikadhibitika zinyimwe au kupunguziwa mafungu ili fedha nyingi na kwa usamizi thabiti ziende kwenye sekta zinazogusa Maisha ya watu kama Tarura,Tanroads, elimu,afyA etc. Kwa Mf. Tarura inahitaji mafungu maana hali ya barabara ni mbaya,nyingi ni za udongo na changarawe mvua zikianza tu kwa heri.sasa hakuna haja ya kuapprove hela kwenye sekta zilizo na upigaji ukaacha zinazogusa wananchi.Ramadan kareem.
Makini sana
 
Back
Top Bottom