Spika Ndugai: Wabunge watoro warejeshe fedha zote walizolipwa kuanzia Mei 1-17 jumla ya Tsh. Milioni 110

Nimesikitika sana tena sana maana miaka yote wamekuwa wakijinasibu kuwa wanapinga ubadhirifu na matumizi mabaya ya pesa za umma.

Hivi kwa nini hawa
kuanza huu mgomo kabla ya kuchukua pesa za wapiga kula wao ambao ni wengi wao ni maskini?
Fikiria mbunge anachukua mil mbili na laki arobaini alafu anasema yupo Dodoma anaenda kujiweka karantini kumbe anaingia mjini Dar es salaam kula bata na familia yake. Huu sio uungwana kabisa.Mbaya zaidi wengine ni wachungaji sasa mchungaji gani unadanganya?

Wabunge wa Chadema na Act wazalendo mmejiabisha maana mmetuibia pesa zetu sisi wanyonge.
Hii inatupa fundisho kuwa October hamtakiwi kurudi tena bungeni.
Natoa wito wote kwa aibu ya kutuibia mjiudhuru. Maana huo ni wizi.
 
Ndugai anawataka wabunge wote wa upinzani kurudi bungeni kwa sababu ni watoro na pia wameshalipwa posho za karibia wiki mbili,Sasa nnachojiuliza inaama bunge linalipa watu kabla ya kufanya kazi na pia Ina maana rwakatale,mahiga na ndassa walishalipwa.

Na pia Kuna libunge lingine wamelidaka na silaha kibao Kama Chuck Norris anaenda Vietnam nalo limeshalipwa posho ambazo ni kodi zetu sisi malofa, bunge ni sehemu ya kazi kwa wabunge hilo ni sawa sasa kuna mtu mmoja tena kiongozi mkubwa tunamgaramia kwa kila kitu sasa iweje na yeye nae kaacha ofisi ambayo tunagharamia kaenda kujificha kwake lakini kwa gharama zetu, huyu nae tumfanyeje? Nataka jibu ndugai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika wa bunge akihitimisha bunge jioni hii amesema kuwa wabunge watoro wote warudishe pesa walizolipwa kwa ajili ya kuwatumikia wananchi ambazo ni kuanzia tarehe 1 Mei mpaka 17 Mei, vinginevyo hawatapokelewa bungeni baada ya wiki mbili ambazo wanadai wapo quarantine
Kumbe hii mijuha ililipwa kabisa!! ndio maana DJ akaamua kuwapelekesha, alishajua cha kwake kibindoni!! warudishe pesa zote bana!!
 
Spika wa bunge akihitimisha bunge jioni hii amesema kuwa wabunge watoro wote warudishe pesa walizolipwa kwa ajili ya kuwatumikia wananchi ambazo ni kuanzia tarehe 1 Mei mpaka 17 Mei, vinginevyo hawatapokelewa bungeni baada ya wiki mbili ambazo wanadai wapo quarantine
nawashauri wabunge wa upinzani waitumie hii fursa vizuri.

warejee bungeni halafu wakatimue vumbi kwa ma speech ya maudhi kupitiliza ili Ndu Gay mwenyewe awatimue kutoka bungeni.

yaani wahakikishe wanatema sumu kali sana ya kumuumiza Ndu Gay hadi ashindwe kuvumilia.
wakafanye fujo za kufa mtu hakuna namna maana spika amedhihirisha ni mhuni fulani kwa hiyo lazima afanyiziwe kihuni huni hivyo hivyo!!
 
Hili ni kosa kubwa sana yaani mnasubiri pesa za wananchi wanyonge mlipwe alafu mzichukue bila kuzifanyia kazi?

Hii ni kashfa kubwa sana maana mmetuthibitishia kuwa nyie mpo hapo kwa ajili ya matumbo yenu na si kwa ajili ya maslahi ya taifa.

Natoa rai kwa watanzania wenzangu wavuja jasho mwezi wa October hawa wabunge kila akisimama kama watagombe swali la kwanza liwe kwa nini waliiba pesa za umma? Na October wote wachinjiliwe mbali.
 
Ukimsikiliza Spika alivyozungumzia suala la Wabunge wa Chadema kujiweka karantini na hasira za Rais Magufuli kuhusu hilo utajua kuwa Ndugai anamuogopa Magufuli hakuna mfano.

Kuna nini? Siri ya woga huo ni kitu gani hadi anaweweseka kila aonapo Mbunge kafanya kitu cha kumuudhi Magufuli.

Ona mpaka anatangaza kumrudisha bungeni mtu aliye hama chama mwenyewe na kutangaza hadharani!
Wachunguzi wa mambo watuijie na majibu ya kinachomtia hofu Ndugai ni nini hasa?

Au zile pesa zilizofujwa kwa mabilioni akiwa India matibabu? Hizo hata asiwe na hofu nazo kwani muziki wake ataucheza tuu pale utawala utakapo badilika na hata kama amekuwa mzee.

Nchi imeharibika kiutawala kwa chuki hizi wanazoziendekeza kwa kuichukia Chadema. Chadema ni chama cha Watanzania pia na kina haki zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha leo Ndugai alivyomtaka Mwambe arudi bungeni, yaani mtu alieandika mwenyewe barua ya kujiuzulu, akaitisha press conference, halafu leo Ndugai anasema CDM wameshindwa kuthibitisha!.

Hivi wewe mleta mada nikuulize; kama kiongozi wa bunge anakuwa na msimamo wa aina hiyo, kuna haja kweli hata ya kuwa na hilo bunge?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimsikiliza Spika alivyozungumzia suala la Wabunge wa Chadema kujiweka karantini na hasira za Rais Magufuli kuhusu hilo utajua kuwa Ndugai anamuogopa Magufuli hakuna mfano.
Kuna nini? Siri ya woga huo ni kitu gani hadi anaweweseka kila aonapo Mbunge kafanya kitu cha kumuudhi Magufuli.
Ona mpaka anatangaza kumrudisha bungeni mtu aliye hama chama mwenyewe na kutangaza hadharani!
Wachunguzi wa mambo watuijie na majibu ya kinachomtia hofu Ndugai ni nini hasa?
Au zile pesa zilizofujwa kwa mabilioni akiwa India matibabu? Hizo hata asiwe na hofu nazo kwani muziki wake ataucheza tuu pale utawala utakapo badilika na hata kama amekuwa mzee.
Nchi imeharibika kiutawala kwa chuki hizi wanazoziendekeza kwa kuichukia Chadema. Chadema ni chama cha Watanzania pia na kina haki zote

Sent using Jamii Forums mobile app

..Cecil Mwambe amerudi bungeni?

..siwezi kuamini mpaka nione video clip.
 
SPIKA Amesema Perdiem. Yani posho ya kujikimu ukiwa nje ya kituo chako cha kazi. Hata Serikalini, mtumishi hawezi kusafiri bila kulipwa posho ya kujikimu nje ya KITUO cha kazi. Siyo SITTING ALLOWANCE au posho ya kuhudhuria kikao. Perdiem hulipwa kabla ya safari ili mtumishi akatekeleze jukumu fulani. Rejea. Rais aliwahi kufuta sherehe flani, na watumishi wa Umma wakaambiwa warejeshe Perdiem.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimsikiliza Spika alivyozungumzia suala la Wabunge wa Chadema kujiweka karantini na hasira za Rais Magufuli kuhusu hilo utajua kuwa Ndugai anamuogopa Magufuli hakuna mfano.
Kuna nini? Siri ya woga huo ni kitu gani hadi anaweweseka kila aonapo Mbunge kafanya kitu cha kumuudhi Magufuli.
Ona mpaka anatangaza kumrudisha bungeni mtu aliye hama chama mwenyewe na kutangaza hadharani!
Wachunguzi wa mambo watuijie na majibu ya kinachomtia hofu Ndugai ni nini hasa?
Au zile pesa zilizofujwa kwa mabilioni akiwa India matibabu? Hizo hata asiwe na hofu nazo kwani muziki wake ataucheza tuu pale utawala utakapo badilika na hata kama amekuwa mzee.
Nchi imeharibika kiutawala kwa chuki hizi wanazoziendekeza kwa kuichukia Chadema. Chadema ni chama cha Watanzania pia na kina haki zote

Sent using Jamii Forums mobile app
Maccm sijui huwa yanalogana akili
Mbona wana mambo ya ovyo ovyo sana

Hawa ndio wanatufanya tukiwa ugenini tuone aibu kusema tunatokea Tanzania.
Unakuta mtu anakuuliza , Rais wenu ndio yule mpima mapapai ?
Unabaki kusema ni rais wa club ya jangwani huyo
 
Back
Top Bottom