Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Nimesikitika sana tena sana maana miaka yote wamekuwa wakijinasibu kuwa wanapinga ubadhirifu na matumizi mabaya ya pesa za umma.
Hivi kwa nini hawa
kuanza huu mgomo kabla ya kuchukua pesa za wapiga kula wao ambao ni wengi wao ni maskini?
Fikiria mbunge anachukua mil mbili na laki arobaini alafu anasema yupo Dodoma anaenda kujiweka karantini kumbe anaingia mjini Dar es salaam kula bata na familia yake. Huu sio uungwana kabisa.Mbaya zaidi wengine ni wachungaji sasa mchungaji gani unadanganya?
Wabunge wa Chadema na Act wazalendo mmejiabisha maana mmetuibia pesa zetu sisi wanyonge.
Hii inatupa fundisho kuwa October hamtakiwi kurudi tena bungeni.
Natoa wito wote kwa aibu ya kutuibia mjiudhuru. Maana huo ni wizi.
Hivi kwa nini hawa
kuanza huu mgomo kabla ya kuchukua pesa za wapiga kula wao ambao ni wengi wao ni maskini?
Fikiria mbunge anachukua mil mbili na laki arobaini alafu anasema yupo Dodoma anaenda kujiweka karantini kumbe anaingia mjini Dar es salaam kula bata na familia yake. Huu sio uungwana kabisa.Mbaya zaidi wengine ni wachungaji sasa mchungaji gani unadanganya?
Wabunge wa Chadema na Act wazalendo mmejiabisha maana mmetuibia pesa zetu sisi wanyonge.
Hii inatupa fundisho kuwa October hamtakiwi kurudi tena bungeni.
Natoa wito wote kwa aibu ya kutuibia mjiudhuru. Maana huo ni wizi.