Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,547
- 113,727
Wanabodi,
Watch Live on TBC-
Spika wa Bunge, Mhe. Anna Makinda, ameliahirisha Bunge asubuhi hii, baada ya kipindi cha maswali na majibu ili kupata fursa ya kushiriki Public Hearing.
Pia Mhe. Makinda, anafafanua Kilichotokea Jana katika kupokea maoni ya muswada wa kamati ya kukusanya maoni ya katiba kwa vituo vya Dar es Salaam na Dodoma.
Mhe. Makinda avishutumu vyama vinavyotumia zoezi hili kama mtaji wa kisiasa! (makofi..)
Endelea kufuatilia.
Watch Live on TBC-
Spika wa Bunge, Mhe. Anna Makinda, ameliahirisha Bunge asubuhi hii, baada ya kipindi cha maswali na majibu ili kupata fursa ya kushiriki Public Hearing.
Pia Mhe. Makinda, anafafanua Kilichotokea Jana katika kupokea maoni ya muswada wa kamati ya kukusanya maoni ya katiba kwa vituo vya Dar es Salaam na Dodoma.
Mhe. Makinda avishutumu vyama vinavyotumia zoezi hili kama mtaji wa kisiasa! (makofi..)
Endelea kufuatilia.