sasa unakataa Kwamba tulivamia uganda kuondoa IDDI amini kwakuwa anajenga vyuo vya kiislam?
Ina maana huku ipata? Alisema waliokufa wapo MBALI KULEEE na sio hapa karibu kama chamwino au mjini hapa, Kama ingekuw ahapa karibu angehairisha bunge ila kw akuw ani mbali kuleee hakuna hoja.
Ndugu zangu wa Zanzibar msimlaani huyu dada Makinda, mwenzenu huyu ni MGUMBA hana uchungu na wana wa nchi.
Mwanamke ambaye hakupata ugumba kwa mapenzi yake anakuwa na uchungu na wana wa nchi. Huyu dada Makinda ni tofauti na mwanamke kama huyo, msameheni bure.
si unajua mavyuo vya makanisa tunatoa kodi yetu Ule MOU. mkataba wa kinyonyaji uliofungwa na LOWASA.kwa hivyo usishangae ukaona st zinakuwa, waislam tunachangia kodi ktk hivyo vyuo vya kikiristo
Msimamo wangu utaupata baada ya mimi binfasi kuona hoja za pande zote mbili za shillingi. Usiwe na jazba.
Ingekuwa vyema mleta mada akaweka bandiko la ANNUR kwa hayo ayasemayo humu.
si unajua mavyuo vya makanisa tunatoa kodi yetu Ule MOU. mkataba wa kinyonyaji uliofungwa na LOWASA.kwa hivyo usishangae ukaona st zinakuwa, waislam tunachangia kodi ktk hivyo vyuo vya kikiristo
Unataka bandiko la Annur wakati kilasiku lazima upate copy yake hayo si yale magazeti yenu ya kwenye vijiwe vya kahawa!Msimamo wangu utaupata baada ya mimi binfasi kuona hoja za pande zote mbili za shillingi. Usiwe na jazba.
Ingekuwa vyema mleta mada akaweka bandiko la ANNUR kwa hayo ayasemayo humu.
duhu. Huoni kila kiongozi wa chadema anakesi mahakamani? Hio ni mwanzo tu
sasa unakataa Kwamba tulivamia uganda kuondoa IDDI amini kwakuwa anajenga vyuo vya kiislam?
Leo gazeti huru la Annur limeandika kwamba kitendo cha Mh spika kukataa hoja za wabunge alipoombwa kuahirisha bunge na kutoa maneno amabayo hayakuwa na Msingi kulifanya baadhi ya Wazanzibar kumlaani na kumupmbea dua mbaya misikitini
wanadai wanaglikuwa wamekufa WABENA na WAHEHE angalitoa kauli ile?
Leo gazeti huru la Annur limeandika kwamba kitendo cha Mh spika kukataa hoja za wabunge alipoombwa kuahirisha bunge na kutoa maneno amabayo hayakuwa na Msingi kulifanya baadhi ya Wazanzibar kumlaani na kumupmbea dua mbaya misikitini
wanadai wanaglikuwa wamekufa WABENA na WAHEHE angalitoa kauli ile?
duhu. Wewe chadema tu. Ndio wenye Comment kama hizi
waislam wenzangu wanapotoka, wapi binadam anamlaan binadam mwenzie?