zombie kafunga.....
ok.lkn angalia viongozi wa chadema wanavyoahaha na makesi sasa. Ni dua tu ile
dua za waislam hufanya kazi miongoni mwao wenyewe na majini yako huwa hazimdhuru mtu asiyekuwa muislam!
vipi laana ya kuchoma makanisa??...naona meli zinazama kila leo.
tunakumbuka mv bukoba. Nyerere alipolazimisha lazima uganda iwe na mfumo wa kikirsto baada ya kuona tayari mbale islamic university inakuwa kwa kasi
Msimamo wangu utaupata baada ya mimi binfasi kuona hoja za pande zote mbili za shillingi. Usiwe na jazba.
Ingekuwa vyema mleta mada akaweka bandiko la ANNUR kwa hayo ayasemayo humu.
Leo gazeti huru la Annur limeandika kwamba kitendo cha Mh spika kukataa hoja za wabunge alipoombwa kuahirisha bunge na kutoa maneno amabayo hayakuwa na Msingi kulifanya baadhi ya Wazanzibar kumlaani na kumupmbea dua mbaya misikitini
wanadai wanaglikuwa wamekufa WABENA na WAHEHE angalitoa kauli ile?
Leo gazeti huru la Annur limeandika kwamba kitendo cha Mh spika kukataa hoja za wabunge alipoombwa kuahirisha bunge na kutoa maneno amabayo hayakuwa na Msingi kulifanya baadhi ya Wazanzibar kumlaani na kumupmbea dua mbaya misikitini
wanadai wanaglikuwa wamekufa WABENA na WAHEHE angalitoa kauli ile?
Leo gazeti huru la Annur limeandika kwamba kitendo cha Mh spika kukataa hoja za wabunge alipoombwa kuahirisha bunge na kutoa maneno amabayo hayakuwa na Msingi kulifanya baadhi ya Wazanzibar kumlaani na kumupmbea dua mbaya misikitini
wanadai wanaglikuwa wamekufa WABENA na WAHEHE angalitoa kauli ile?
makinda anatekeleza ilani ,sera na maagizo ya chama cha mapinduzi,,BORA HIYO LAANA INGETUMWA KWA CCM YOTE
tUNAKUMBUKA mv Bukoba. nyerere alipolazimisha lazima Uganda iwe na Mfumo wa kikirsto baada ya Kuona tayari MBALE ISLAMIC university inakuwa kwa kasi
tUNAKUMBUKA mv Bukoba. nyerere alipolazimisha lazima Uganda iwe na Mfumo wa kikirsto baada ya Kuona tayari MBALE ISLAMIC university inakuwa kwa kasi
si unajua mavyuo vya makanisa tunatoa kodi yetu Ule MOU. mkataba wa kinyonyaji uliofungwa na LOWASA.kwa hivyo usishangae ukaona st zinakuwa, waislam tunachangia kodi ktk hivyo vyuo vya kikiristomkumbuke na BENJAMIN WILLIAM alivyowazawadia chuo cha bure bure na mmeshindwa kukiendesha..
sasa unakataa Kwamba tulivamia uganda kuondoa IDDI amini kwakuwa anajenga vyuo vya kiislam?Usiendekeze vijiwe vya kahawa kijana!!!
Utaishia kuwa mpiga ramli!