Spidi ile JK wanamkimbizia wapi..!?

suala la kupanda mlima kilimanjaro lilikuwa kwenye ratiba siku nyingi

Kwa hiyo unaamini kabisa JK atafika Gilmans Point? Leo hii ?Wakati alishindwa alipokuwa askari? Hebu muangalie vizuri

k7.jpg
 
suala la kupanda mlima kilimanjaro lilikuwa kwenye ratiba siku nyingi
Kila nikiulazimisha ubongo wangu kukuelewa inakuwa ngumu sana, yaani swala la madaktari na kupanda mlima priority ya Rais ni kupanda mlima kwa sababu lipo kwenye ratiba ya muda mrefu?
Mbona JK huyu huyu alikatisha ziara yake South Africa kwa ajili ya kuja kuwahi kumzika yule mchawi wa magomeni Mwembe chai?
 
Conclusion


Ladies and Gentlemen;


I know most of you are now ready to start the climbing of Mt Kilimanjaro, therefore let me not delay you any further with a long speech. We wish you well and we hope that you will all reach the Uhuru Peak, the highest point of Mount Kilimanjaro and in Africa. With these remarks, I formally declare the Africa UNITE Climb to End Violence against Women and Girls officially launched.


Thank you for your attention and best of luck!
 
Kila nikiulazimisha ubongo wangu kukuelewa inakuwa ngumu sana, yaani swala la madaktari na kupanda mlima priority ya Rais ni kupanda mlima kwa sababu lipo kwenye ratiba ya muda mrefu?
Mbona JK huyu huyu alikatisha ziara yake South Africa kwa ajili ya kuja kuwahi kumzika yule mchawi wa magomeni Mwembe chai?

Mkuu hakuwa mchawi yule alikuwa ni mjanja wa mjini aliyejua kuuza maneno.

Kwa kumbu kumbu zangu aliwahi kutabiri mambo mawili akabumba

1) simba itaifunga yanga. Matokeo yake Yanga wakashinda
2) atakayempinga JK atakufa: Shibuda anapeta CHADEMA.

Unahitaji nini kujua kwmaba jamaa alikwua ni mission town?
 
Taarifa za KIINTELIJENSIA zinasema kuwa, JK hakupanda mlima kabisaaaaaaaaaaaa! Aliwasindikiza tu na aliishia pale getini Marangu. Jana jioni alipanda pipa kurudi bongo daslam! Inawezekana anaelekea airport JKNIA kuelekea Russia kuhudhuria sherehe za kuapishwa rais mchaguliwa wa Russia, Vladimir Putin!
 
Bado yuko milima Kilimanjaro anashuka kesho bila shaka ni kiongozi mwingine aliyeonekana huko Tabata.
JK yuko moshi na sasa hivi anafungua mkutano mkuu wa maofisa waandamizi wa polisi unaofanyika chuo cha taaluma cha polisi - Moshi Police Academy zamani kikijulikana kama CCP! ww huyo ulomuona ni JK wako unayemfahamu!
 
all in all awe moshi au dar jk anatutesa sana watanzania,cjui dhamira ya roho yake iko wapi kwa watanzania,it seems we have no president
 
Taarifa za KIINTELIJENSIA zinasema kuwa, JK hakupanda mlima kabisaaaaaaaaaaaa! Aliwasindikiza tu na aliishia pale getini Marangu. Jana jioni alipanda pipa kurudi bongo daslam! Inawezekana anaelekea airport JKNIA kuelekea Russia kuhudhuria sherehe za kuapishwa rais mchaguliwa wa Russia, Vladimir Putin!

Hili linawezekana !
 
Hizo nikazi za wanaume kama nyerere mwenyewe alichemka itakuja kua hoyo!!hayuko mliman yuko ulaya muda sanaa,we!mnataka afe nini?
 
JK yuko moshi na sasa hivi anafungua mkutano mkuu wa maofisa waandamizi wa polisi unaofanyika chuo cha taaluma cha polisi - Moshi Police Academy zamani kikijulikana kama CCP! ww huyo ulomuona ni JK wako unayemfahamu!

Wamurubhere,

..inawezekana analala dsm na kwenda moshi kwa shughuli za kazi.
 
Wakuu salamu,
Muda huu umenipita msafara wa JK hapa maeneo ya Tabata dampo. Msafara ulikuwa na magari zaidi ya 30 na difenda za Presidential Protective Unit kama 8 hivi. Wamepita kwa spidi kali pengine kuliko kawaida ya spidi ya Presidential motorcade jambo ambalo limewashangaza wengi hapa.
Gari hizo zimetokea maeneo ya Ubungo na zimeelekea Tazara/Airport.

Kwa wale wenye taarifa mtujuze;
1. Bwana mkubwa anaelekea wapi?
2. Kwa nini msafara ukimbie kwa spidi ile? (spidi ilikuwa si chini ya 160kph).
3. Kwa nini leo amebadili njia na kutumia njia ya Mwenge-Ubungo-Tazara-Airport? (Njia ambayo huwa anatumia mara nyingi akiwa anaenda Airport ni Nyerere Road, leo mbona amezunguka hivi....kulikoni?

Wenye taarifa tafadhali.

Mkeshaji,

Unasema msafara umepita kwa speed isiyo ya kawaida kwani standard ya speed kwa msafara wa Prez ni ngapi km/hr?

Na je huo ulikuwa unaenda kilometa ngapi wka saa?
 
labda atakuwa mgonjwa anawaishwa airport,.na hali ya uchumi ilivyo,i think it's about time
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom