Yani kwa muonekano wa kikwete,
asipojitambulisha unaweza kusema ni rais wa
Brazil hivi. Jamaa ana haiba, alafu haongei
pumba, he got sense of charm ana ongea kwa
historical reference. In short najisikia raha
kusema JK ni rais wangu.
Sipati picha ndio eti rais wa nchi ni dokt slaa, au
mrema wangelitia aibu taifa
hotuba ilikuwa nzuri lakin tatizo alilokuwa nalo rais wetu na waliomuandalia hoto ni kutojali mda