Jamani mwenzenu nahitaji msaada
nina mtoto wa kiume hivi sasa ana umri wa miaka 4 na miezi 3. Mpaka sasa haongei kwa mfulilzo yaani haunganishi vizuri sentensi. Anaweza kuongea maneno machache kama kuita majina ya watu, kusalimia na sentensi chache kama"naomba maji". Ameshaanza kwanda shule na maendeleo yake ni mazuri na mwalimu amemsifia kwamba anafanya vizuri ktk kuhesabu na kuimba isipokuwa hawezi kujieleza. Sasa najiuliza je ni kawaida kwa umri wake au lazima nichukue hatua ya kumpeleka kwa wataalam.ni mwanangu wa kwanza.
Naomba ushauri jamani
nina mtoto wa kiume hivi sasa ana umri wa miaka 4 na miezi 3. Mpaka sasa haongei kwa mfulilzo yaani haunganishi vizuri sentensi. Anaweza kuongea maneno machache kama kuita majina ya watu, kusalimia na sentensi chache kama"naomba maji". Ameshaanza kwanda shule na maendeleo yake ni mazuri na mwalimu amemsifia kwamba anafanya vizuri ktk kuhesabu na kuimba isipokuwa hawezi kujieleza. Sasa najiuliza je ni kawaida kwa umri wake au lazima nichukue hatua ya kumpeleka kwa wataalam.ni mwanangu wa kwanza.
Naomba ushauri jamani