Mkuu mm nataka smart tv inch32 brand ya samsung....kumbuka ni smart tv...!!! Nipe beiSalaam wadau..ninaimport TVs na Home theatres pamoja na vifaa vya umeme kama PS4,nazitoa Dubai.Kama unahitaji waeza nipa specifications nikakupa bei na kujuletea mpaka hapa uaknilipa...bei ni poa kabisa.Mfano LG 55 smart nauza kwa mil 2.4 wakati hapa mjini ni mil 2.8
Zanzibar mkuu ila tunakuaafirishia pia ukiitajiUnapatikana wapi mkuu
Mkuu miziki pia tunayo, sema unataka mziki ganiJamani vipi music system nahitaji kwa anaye uza
Mkuu pitia post kuanzia [HASHTAG]#258[/HASHTAG] utachagua mziki unaotakaJamani vipi music system nahitaji kwa anaye uza
Nipe bei ya ps4 na Smart tv Samsung/Lg inch 40..Salaam wadau..ninaimport TVs na Home theatres pamoja na vifaa vya umeme kama PS4,nazitoa Dubai.Kama unahitaji waeza nipa specifications nikakupa bei na kujuletea mpaka hapa uaknilipa...bei ni poa kabisa.Mfano LG 55 smart nauza kwa mil 2.4 wakati hapa mjini ni mil 2.8
Bajet ya lak6.5 napata TV aina gan na nch ngap?Salaam wadau..ninaimport TVs na Home theatres pamoja na vifaa vya umeme kama PS4,nazitoa Dubai.Kama unahitaji waeza nipa specifications nikakupa bei na kujuletea mpaka hapa uaknilipa...bei ni poa kabisa.Mfano LG 55 smart nauza kwa mil 2.4 wakati hapa mjini ni mil 2.8
Nina 700000 nahitaji sumsang ianzie 40 inch, nitapata kwa hyo bei?Salaam wadau..ninaimport TVs na Home theatres pamoja na vifaa vya umeme kama PS4,nazitoa Dubai.Kama unahitaji waeza nipa specifications nikakupa bei na kujuletea mpaka hapa uaknilipa...bei ni poa kabisa.Mfano LG 55 smart nauza kwa mil 2.4 wakati hapa mjini ni mil 2.8
Njoo uchuku mkuu siries 5Nina 700000 nahitaji sumsang ianzie 40 inch, nitapata kwa hyo bei?
Mkuu 40" haikufai?natafuta sony bravia 46" nipo dsm nitumie picha whatsapp 0713558111