Special Thread: Wauza Nyumba, Viwanja na Mashamba.

Kiwanja Ekari moja na nusu na banda kubwa la mifugo vinauzwa viko Mbezi Msumi 6km kutoka Morogoro Road,Kabla ya Msumi mwisho, umeme upo na ni barabarani kuelekea Mont Primary School.Pia uwezekano wa kukata kata viwanja vidogo vidogo upo kufuatana na mahitaji yako,Simu 0712 234095 dalali hatakiwi serious buyers only.
 
Nauza Kiwanja 35X35 nusu heka bei milioni 2 kipo Pwani Mkuranga Kata Kiparang'anda Kijiji Kise Jirani na Kise Shule ya Msingi ... Hati ya Kijiji ipo... 0714 400 871... Message tafadhali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom