Special Thread: Wauza Nyumba, Viwanja na Mashamba.

peaci

Member
Jul 29, 2016
34
25
Habari wana jamvi.

Hapa ni sehemu maalum ya kuuza Nyumba, kiwanja na shamba. Ni sehemu ya kukutanisha muuzaji na mnunuzi moja kwa moja au kupitia Dalali.

Habari na matangazo yatolewe kiusahihi yakiambatana na picha ya Mali inayouzwa, mahali inapopatikana, bei n.k
 
1472559269403.jpg
1472559283214.jpg
1472559296958.jpg
1472559328078.jpg

-5Bedroom & 1 master room
- Sitting & Dining room
- Kitchen & Public toilet
- Tiles & Gypsum
- Aluminium window & Pavers
- Water & Electricity
- Surrounding Fence & Car Parking
Location Chamazi.
Price 67000000
+255672058465
 
Mkuu hii iko Chamazi kule kwenye uwanja wa Azam, au kabla ujafika kule? Je bei inapungua?
Hii ipo Chamazi kwa Mkongo, kwa uwanja wa Azamu huko mbele zaidi km unaelekea Mbande baada ya kuvuka bamia. Bei inapungua Dada karibu
 
1472562161326.jpg
1472562190541.jpg
1472562213538.jpg
1472562246879.jpg

- Ina Vyumba 4 vya kualala
-2 master bedroom
- Sebule kubwa na sehemu ya chakula
- Choo cha umma
- Jiko
-malumalu na dirisha za aluminium
- Maji na umeme
- Fremu ya duka 1
- Fensi na parking ya gari

Nyumba iko Chamazi.
Bei: 47,000,000.
 
KIWANJA HEKA 3 NA NUSU BEI MIL.6.5 kipo musese mpakani mwa w/kibaha na w/kisarawe, maji,kokoto,mchanga,mawe sawa na bure vinapatkana hapahapa, kipo center kabisa barabarani hiyo road unaweza pta uktokea kibaha inatokezea kisarawe,chanika serious buyer 0764726071 NA 0624078252 NI CHANGU SI DALALI.
 

Attachments

  • SITE.jpg
    SITE.jpg
    5.5 KB · Views: 108
NYUMBA INAUZWA MUSESE, ina chumba cha kulala,choo,jiko,sitting room,umeme wa solar,imepauliwa nusu,ipo center barabarani jirani ina ukubwa wa kiwanja 35+35 bei mil 8 imejengwa mwezi wa pili..serious buyer 0624078252.
 

Attachments

  • HOUZ.jpg
    HOUZ.jpg
    4.4 KB · Views: 114
KIWANJA HEKA 3 NA NUSU BEI MIL.6.5 kipo musese mpakani mwa w/kibaha na w/kisarawe, maji,kokoto,mchanga,mawe sawa na bure vinapatkana hapahapa, kipo center kabisa barabarani hiyo road unaweza pta uktokea kibaha inatokezea kisarawe,chanika serious buyer 0764726071 NA 0624078252 NI CHANGU SI DALALI.
Mkuu hiyo ardhi inakubali mazao gani? Au ndio kokoto tupu huwezi kupanda chochote? Je bei inapoa? Ni pm plse..
 
1480609081392.jpg
1480609161883.jpg
1480609222562.jpg
1480609269602.jpg
1480609346700.jpg
1480609370022.jpg
1480609391912.jpg
1480609466267.jpg

Ni nyumba ya kisasa, ina vyumba 4 vya kulala, 2 master bedroom, Jiko, store, fensi, na parking Kubwa ya gari, tiles nyumba nzima, kisima cha Maji na tank la litre 5000, Maua, miti na bembea za watoto n.k Nyumba iko Kinguge Mbagala . bei milion 100
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom