Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii iko Chamazi kule kwenye uwanja wa Azam, au kabla ujafika kule? Je bei inapungua?View attachment 390370View attachment 390371View attachment 390372View attachment 390373
-5Bedroom & 1 master room
- Sitting & Dining room
- Kitchen & Public toilet
- Tiles & Gypsum
- Aluminium window & Pavers
- Water & Electricity
- Surrounding Fence & Car Parking
Location Chamazi.
Price 67000000
+255672058465
Tafadhari nimeku pm mkuu tuzungumze biashara.Hii ipo Chamazi kwa Mkongo, kwa uwanja wa Azamu huko mbele zaidi km unaelekea Mbande baada ya kuvuka bamia. Bei inapungua Dada karibu
Watu mnaishi maisha ya raha. Mjumba wote huo? bado hujamweka mtoto mzuri wa kuvinjari nae? saweni bwanaView attachment 390397View attachment 390398View attachment 390400View attachment 390401
- Ina Vyumba 4 vya kualala
-2 master bedroom
- Sebule kubwa na sehemu ya chakula
- Choo cha umma
- Jiko
-malumalu na dirisha za aluminium
- Maji na umeme
- Fremu ya duka 1
- Fensi na parking ya gari
Nyumba iko Chamazi.
Bei: 47,000,000.
Mkuu hiyo ardhi inakubali mazao gani? Au ndio kokoto tupu huwezi kupanda chochote? Je bei inapoa? Ni pm plse..KIWANJA HEKA 3 NA NUSU BEI MIL.6.5 kipo musese mpakani mwa w/kibaha na w/kisarawe, maji,kokoto,mchanga,mawe sawa na bure vinapatkana hapahapa, kipo center kabisa barabarani hiyo road unaweza pta uktokea kibaha inatokezea kisarawe,chanika serious buyer 0764726071 NA 0624078252 NI CHANGU SI DALALI.
Nauza kiwanja Pugu kajiungeni, bei 6M. Ukubwa 22*30mkuu vp naweza pata kiwanja pande hizo za chamanz..bajet yangu ni 6ml
kweli kabisa hela yenyewe ngumu sana saizANGALIZO:
Jamani kama unajua unauza kiwanja, nyumba kwa njia ya utapeli
Omba uyo ibilisi asikuingie
Tutakuja kutoana roho
Kila mtu ana uchungu na hela yake.