OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,313
- 3,662
Duh! Mtu anawaka kama kifuu cha nazi.
Duh! Mtu anawaka kama kifuu cha nazi.
Mkuu; Ninasubiri kwa hamu vilio, simanzi na huzuni kuu vitamalaki Urussi.Nimeona drone ya Ukraine inabeba vilipuzi 300KG, zinasafiri 3000km +
Slava UkraineHivi Urusi ilijua ikivamia Ukraine watakaokufa ni Ukraine tu? Vita wameanzisha Urusi, wanajeshi wao wakipasuliwa vichwa wanalia. Urusi ilikuwa na amani imetulia,sasa hivi kila siku ni kuzika.
View attachment 2443554
Kwa hiyo urusi anapigwa na ukraine iliyosambaratishwa ? au ndo kusema ubongo wako hauna ushirikiano na mikono inayoandika?Propaganda za kijinga Ukraine ilishasambaratishwa msijifariji
His/her brain is full of urine fluid.Propaganda za kijinga Ukraine ilishasambaratishwa msijifariji
Usipoteze muda wako ku urgue na taahira.Kwa hiyo urusi anapigwa na ukraine iliyosambaratishwa ? au ndo kusema ubongo wako hauna ushirikiano na mikono inayoandika?
Imesambaratishwa wakati raisi wao yupo na jeshi lipo. Unaongea nini kijana?Propaganda za kijinga Ukraine ilishasambaratishwa msijifariji
Hao ni "fanatics" wa urusi. wengi wao chuki yao kwa Marekani imewafanya waishabikie Urusi.I
Imesambaratishwa wakati raisi wao yupo na jeshi lipo. Unaongea nini kijana?
Ungeongeza na neno lingine "Religious Fanatics". Tena walio tayari kujilipua kwa jambo hata asilolijua.Hao ni "fanatics" wa urusi. wengi wao chuki yao kwa Marekani imewafanya waishabikie Urusi.
Unaambiwa saiv meli za Russia Zina oparate kwenye hiyo miduaraHIMARS, hii kitu ikikohoa ujue imefanya yake. Imemfanya mrusi awe anaficha silaha kwa mafungu mafungu kama nyanya. Siku ikipata long range missile, atatoa meli zake za kivita Black sea na sea of Azov. Military Base zake za Kursk, Rostov, Krasnodar na Belgorod lazima asihamishe. Hizi ndo base kubwa zinazotumika ku supply silaha uwanja wa vita.
Crimea ikichukuliwa meli zake zote ataondoa kwenye hiyo miduara. Ndiyo maana hata kwenye negotiation anayotaka moja ya hoja yake ni kutaka security Guarantee kutoka USA na NATOUnaambiwa saiv meli za Russia Zina oparate kwenye hiyo miduara View attachment 2444682
Mamluki hufaa kwenye kupindua serikali lakini siyo kwenye vita ndefu kama hii..
Hii ngoma inazidi kuwa ngumu kwa urusi
Ukraine wakiweza kutoboa wakafika Melitopol au Mariupol tunaweza kusema vita inaelekea ukingoni. Maana warusi wataikimbia Kherson na Zaporizhzhia. Hata Crimea patakuwa hapakaliki tena.Ukraine imelipua daraja lililopo katika barabara namba M-14 huko Melitopol, matokeo yake vikosi vya Urusi vilivyo msitari wa mbele vitakosa supplies, na operesheni ya Urusi huko kusini mwa Ukraine inazidi kuwa ngumu.
Wakati huohuo, Ukraine inakusanya vikosi na vifaa kuanza counter offensive ya nne katika uelekeo wa Zaporizhia.
Hii ngoma inazidi kuwa ngumu kwa urusi
"... moja ya hoja yake ni kutaka security Guarantee kutoka USA na NATO"Crimea ikichukuliwa meli zake zote ataondoa kwenye hiyo miduara. Ndiyo maana hata kwenye negotiation anayotaka moja ya hoja yake ni kutaka security Guarantee kutoka USA na NATO
Si aliwaongopea eti ni OP ya masaa 72 tu. Sasa huu ni mwezi wa tisa na bado ngoma inadunda mtindo na juzi base yao(Wagner) huko Moscow imekwenda na maji.Mamluki hufaa kwenye kupindua serikali lakini siyo kwenye vita ndefu kama hii.
Maana yake anataka NATO & USA wasaini makubaliano ya kutoishambulia Russia na kusiwe na further expansion ya NATO territories. Ndiyo maana ya Security Guarantee anayotaka."... moja ya hoja yake ni kutaka security Guarantee kutoka USA na NATO"
Anataka ahakikishiwe usalama wake kwamba ....... au ili wasimfanyeje? Anaogopa / anachohofia ni kitu gani? Huyu mzee mbona amezeeka vibaya hivyo?. Inafaa kichapo kikali kiendelee ajifunze namna ya kuongea au kuweka haja zake mbele ya waungwana. 💪 💪
Yeye arudi alipokuwa 1991Crimea ikichukuliwa meli zake zote ataondoa kwenye hiyo miduara. Ndiyo maana hata kwenye negotiation anayotaka moja ya hoja yake ni kutaka security Guarantee kutoka USA na NATO