Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

Siku chache baada ya kampeni za CCM kuzinduliwa,mgombea wa urais kupitia chama icho aliaidi kuwa katika kampen zake atatumia njia ya bara bara katika safari zake ili kujionea kwa ukarib shida zinazowakumba watanzania, ila cha ajab jana alipo kua mara alienda na ndege na ivyo kuvunja ahad yake ya kwanza ambapo haijapita hata mwezi tokea aihaid....hali hii inanipa mashska kama je ataweza kutekeleza ahaad nyingine lukuki anazoziaid majukwaani,,,
 

Attachments

  • 1442045054084.jpg
    1442045054084.jpg
    32.5 KB · Views: 325
Ccm ni ile ile,mliipenda wenyewe, mliichagua wenyewe mtaisoma namba wenyewe,
ccm mbele kwa mbele x 100000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
 
Bila shaka alikusudia hivyo lakini kumbuka kuzunguka nchi nzima kwa barabara tu sio mchezo. Hata hivyo amejitahidi sana endelea kuwa na imani nae
 
Siku chache baada ya kampeni za CCM kuzinduliwa,mgombea wa urais kupitia chama icho aliaidi kuwa katika kampen zake atatumia njia ya bara bara katika safari zake ili kujionea kwa ukarib shida zinazowakumba watanzania, ila cha ajab jana alipo kua mara alienda na ndege na ivyo kuvunja ahad yake ya kwanza ambapo haijapita hata mwezi tokea aihaid....hali hii inanipa mashska kama je ataweza kutekeleza ahaad nyingine lukuki anazoziaid majukwaani,,,
Toka lini ccm wakaahidi ukweli? Anasema atayafunga majizi na mafisadi, anayajuwa?
Halafu na wewe jifunze kuandika kiswahili au ndo shule za CCM?
 
Siku chache baada ya kampeni za CCM kuzinduliwa,mgombea wa urais kupitia chama icho aliaidi kuwa katika kampen zake atatumia njia ya bara bara katika safari zake ili kujionea kwa ukarib shida zinazowakumba watanzania, ila cha ajab jana alipo kua mara alienda na ndege na ivyo kuvunja ahad yake ya kwanza ambapo haijapita hata mwezi tokea aihaid....hali hii inanipa mashska kama je ataweza kutekeleza ahaad nyingine lukuki anazoziaid majukwaani,,,

Kulikua kuna haja ya ku post fikra finyu kama hii?
 
Nashangazwa na mtu asiye ona muda aliotakiwa awepo mara kutoka tanga magufuli kashazunguka kwa gari mikoa ming tunataka rais mwenye uwezo huo hatuyaki rais wa kwenda kulala ikulu
 
Mshaanza kulia lia na kutafuta vishutuma vya kipuuzi. Magufuri katoka Katavi, Rukwa, Mbeya, Njombe, Ruvuma, Mtwara, Tanga, Mara kote huko katembelea wilaya zote, tarafa, kata na vijiji umeona kama alitumia Ndege au chopa. jiulize Lowasa amepita majimbo au wilaya ngapi pamoja na kutumia Chopa. Akijitahidi ni wilaya ttu tu katika mkoa. Magufuli ni jembe achana nae kabisa
 
WANAINCHI WAMPONGEZA MAGUFULI

Kutokana na kampeni zilizokwisha fanyika hadi hivi sana ktka mikoa 10 aliyozunguka Dr Magufuli imedhihirika wazi wanainchi wanazidi kumpongeza na wanasubili kuapishwa kwake kutokana na uwezo wake binafsi alionao katika utendaji wa majukumu yake. Hata hivo wanainchi wengi wamekuwa wakijitokeza na kila anapopita wamekuwa wakimpapongeza zaidi kwa kuchaguliwa kwake kuwa rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na wengine wakisema wanamfahamu hata asipozunguka uwezo wake kujenga hoja, kusimamia kazi na hata kuwa karibu na jamii hata mtoto mdogo analifahamu hilo.

Hongera sana Dr John Pombe Magufuli kwa KUCHAGULIWA KWAKO NA WANAINCHI KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO.
 
Back
Top Bottom