ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 326
Nitashukuru sana mkuu. Pia ukiwa unanijibu naomba ushauri wako kama 2m by 60cm spacing ni ideal kwa hali ya hewa ya mkoa wa Pwani na kilimo cha tikitiAnyways, ninaomba nipumzike kidogo then kesho hopeful ntakujibu kwa undani hasa swali la kwanza!!
Uwe na usiku mwema mkuu na karibu sana!