Special thread: Kilimo cha umwagiliaji (Irrigation)

KWA UZOEFU WANGU WA TIKITI SHARTI YAPATE NAFASI NA MWANGA, KWA HIYO UKIYABANANISHA, MAANA YAKE UNATAKA KIVULI, NA MAUA HAYATATOKA WALA MATUNDA. TIKITI ZINATAKA MWANGA NA NAFASI YA KUTOSHA.

Shukrani kwa ushauri wako mkuu ila naomba kidogo nku-challenge hapo kwenye spacing.. kuna baadhi ya wakulima nimewasikia wanasema spacing inategemeana na hali ya hewa ya kipindi husika, je unaliongeleaje hilo kwa hio recomendatoin yako ya 1m*3m hapo juu?? Jamaa yangu mmoja anadai kipindi cha jua kali ni vizuri kuweka mashimo karibu ili mashina yakutane na kutengeneza kivuli kwa matunda but kipindi cha baridi mashimo yawe mbali sababu mashina hurefuka sana kipindi hicho na yanahitaji kuachana ili yapate mwanga wa jua vizuri kwa ajili ya photosynthesis.
 
KWA UZOEFU WANGU WA TIKITI SHARTI YAPATE NAFASI NA MWANGA, KWA HIYO UKIYABANANISHA, MAANA YAKE UNATAKA KIVULI, NA MAUA HAYATATOKA WALA MATUNDA. TIKITI ZINATAKA MWANGA NA NAFASI YA KUTOSHA.
Naaamua kukubaliana na wewe na msimu ujao nikilima nitajaribu 1m by 2m sababu nafanya single lines. Nafikiri hii practice ya kubananisha mashimo ili shamba lifunge (kama wakulima wanavosema) ndio sababu ya uzaaji finyu. Mara nyingi ukipanda mbegu za 500gm expecting matunda 10,000 (matunda mawili kwa shina) watu wengi huishia hardly kupata matunda 3000 mpaka 2000 which is 30%. Nafikiri pamoja na udhibiti wa magonjwa na wadudu, spacing ina mchango mkubwa sana kwenye kuongeza yield ya uzaaji matunda.
 
ASANTE

Naaamua kukubaliana na wewe na msimu ujao nikilima nitajaribu 1m by 2m sababu nafanya single lines. Nafikiri hii practice ya kubananisha mashimo ili shamba lifunge (kama wakulima wanavosema) ndio sababu ya uzaaji finyu. Mara nyingi ukipanda mbegu za 500gm expecting matunda 10,000 (matunda mawili kwa shina) watu wengi huishia hardly kupata matunda 3000 mpaka 2000 which is 30%. Nafikiri pamoja na udhibiti wa magonjwa na wadudu, spacing ina mchango mkubwa sana kwenye kuongeza yield ya uzaaji matunda.
 
Kwa tikiti mkoa wa pwani unaweza kulima.Tikiti linapenda Sandy soil,au Sandy clay( kichanga,au Kichanga mfinyanzi, usiwe mfinyanzi tupu, kwa spacing ya tikiti,tumia mita 1 kutoka shimo hadi shimo ndani ya mstari,na mita 3 kutoka mstari hadi mstari. Mbegu nazopendekeza kutumika ni Sukari F1, Zebra f1 ( Balton Tanzania), Kito F1 ( toka Seedco), na Juliana F1 toka Kiboseed .Kiasi cha Mbegu kwa aina ya Sukari F1 tumia gram 150 kwa eka 1 unapanda mbegu 1 kwa shina, kwa kito F1 tumia gram 500 unapanda mbegu 2 kwa shina. ,mbegu zingine gram 300-500 zinatosha kwa eka 1.
Mkuu nashujuru sana kwa somo lako.mimi leo ndo natoka moro naelekea simiyu kwa ajili ya kilimo cha tikiti.nimejaribu kupitia makala mbali mbali mana sijui chochote kuhusu kilimo ndo mara ya kwanza nakwenda kulima.nimechukua mbegu za balton zebra f1.ni kwanini mbegu zingine mnashaur zipandwe mbili au tatu kwenye shimo moja na hizi zebra f1 nimeshauriwa nipande mbegu moja kila shimo.pia matunda niyawache yazae mpaka sita wakat wengi wanawacha matunda mawili tu?pia nimeshauriwa nisitumie mbolea ya dukan kupandia mana simiyu samadi ni nyingi.na mbolea ya kukuzia kanishauri nichukue ya kupuliza.je ni sahihi mkuu.

Kabla ya kuanza lolote hiyo kesho asubuh nitafurah kupata ushaur toka kwenu
 
Rich Ze Best
Mkuu nashukuru sana kwa somo lako.mimi leo ndo natoka moro naelekea simiyu kwa ajili ya kilimo cha tikiti.nimejaribu kupitia makala mbali mbali mana sijui chochote kuhusu kilimo ndo mara ya kwanza nakwenda kulima.nimechukua mbegu za balton zebra f1.ni kwanini mbegu zingine mnashaur zipandwe mbili au tatu kwenye shimo moja na hizi zebra f1 nimeshauriwa nipande mbegu moja kila shimo.pia matunda niyawache yazae mpaka sita wakat wengi wanawacha matunda mawili tu=MKUU HIZI RECCOMENDATION ZA MBEGU NGAPI ZIPANDWE KWA SHIMO HUTEGEMEA NA UTAFITI WA KAMPUNI HUSIKA, LICHA YA KWAMBA KUNA WAKATI, UKIZIFUATA INTO PRACTICAL UNAKUTA INAKATAA. KWA MBEGU YA SUKARI F1 INATAMBAA SANA NA NDIO UNAONA HIYO NAFASI BETWEEN LINE TO LINE NI KUBWA-3 MITA. KWA MATUNDA NASHAURI UACHE MAXIMUM 2-3 ILI YAWEZE KUZAA NA KUNENEPA, HAYO SITA WANAYOSEMA NI MAXIMUM SANA. pia nimeshauriwa nisitumie mbolea ya dukan kupandia mana simiyu samadi ni nyingi-SAWA TUMIA SAMADI KUPANDIA KWA KUWA UDONGO WA SIMIYU UNA MCHANGA MWINGI, HIVYO SAMADI ITAKUSAIDIA KUSHIKANISHA UDONGO. LAKINI ITAKUPASA WAKATI WA MATUNDA UWEKE CAN na MBOLEA YA MATUNDA-NPK AU YARA MILLER WINNER (HASA UTAPATA POTASSIUM-K).na mbolea ya kukuzia kanishauri nichukue ya kupuliza-HAPA SAWA WAKATI WA MATUNDA, TUMIA BOOSTER KAMA YARA VITA TRACEL BIZ, AU SUPER GROW AU WUXAL MACRO MIX, AU POTPHOS .je ni sahihi mkuu.

Kabla ya kuanza lolote hiyo kesho asubuh nitafurah kupata ushaur toka kwenu
 
Rich Ze Best
Mkuu nashukuru sana kwa somo lako.mimi leo ndo natoka moro naelekea simiyu kwa ajili ya kilimo cha tikiti.nimejaribu kupitia makala mbali mbali mana sijui chochote kuhusu kilimo ndo mara ya kwanza nakwenda kulima.nimechukua mbegu za balton zebra f1.ni kwanini mbegu zingine mnashaur zipandwe mbili au tatu kwenye shimo moja na hizi zebra f1 nimeshauriwa nipande mbegu moja kila shimo.pia matunda niyawache yazae mpaka sita wakat wengi wanawacha matunda mawili tu=MKUU HIZI RECCOMENDATION ZA MBEGU NGAPI ZIPANDWE KWA SHIMO HUTEGEMEA NA UTAFITI WA KAMPUNI HUSIKA, LICHA YA KWAMBA KUNA WAKATI, UKIZIFUATA INTO PRACTICAL UNAKUTA INAKATAA. KWA MBEGU YA SUKARI F1 INATAMBAA SANA NA NDIO UNAONA HIYO NAFASI BETWEEN LINE TO LINE NI KUBWA-3 MITA. KWA MATUNDA NASHAURI UACHE MAXIMUM 2-3 ILI YAWEZE KUZAA NA KUNENEPA, HAYO SITA WANAYOSEMA NI MAXIMUM SANA. pia nimeshauriwa nisitumie mbolea ya dukan kupandia mana simiyu samadi ni nyingi-SAWA TUMIA SAMADI KUPANDIA KWA KUWA UDONGO WA SIMIYU UNA MCHANGA MWINGI, HIVYO SAMADI ITAKUSAIDIA KUSHIKANISHA UDONGO. LAKINI ITAKUPASA WAKATI WA MATUNDA UWEKE CAN na MBOLEA YA MATUNDA-NPK AU YARA MILLER WINNER (HASA UTAPATA POTASSIUM-K).na mbolea ya kukuzia kanishauri nichukue ya kupuliza-HAPA SAWA WAKATI WA MATUNDA, TUMIA BOOSTER KAMA YARA VITA TRACEL BIZ, AU SUPER GROW AU WUXAL MACRO MIX, AU POTPHOS .je ni sahihi mkuu.

Kabla ya kuanza lolote hiyo kesho asubuh nitafurah kupata ushaur toka kwenu
Mkuu ubarikiwe sana.nimekuelewa sana.naomba ushauri wako ni vema nikapanda mbegu ngapi(f1 zebra)mana nahitaj kupata faida nzuri.kama nikipanda mbegu moja nikawacha matunda matatu sitafikia idadi ya matunda niliyotegemea
 
1. Wasoliana na Bw. Simon, aliyetuma post namba 16. Yupo Dodoma.
2. Hivi karibuni alinipa bei hizi: Connector moja tunauza 500....filter moja 160,000...drippipe 450 kwa mita lakini kama unachukua roller nzima ya mita 1000 bei inakua 400,000[\color]
Bei zake zipo poa kuliko wengi.
3. Pia kuna NGO ipo Kenya wanauza bei poa sana. Sijafanya nao conversation.
4. Generally, Wabongo wenhi wanaumiza mno.
1. Wasoliana na Bw. Simon, aliyetuma post namba 16. Yupo Dodoma.
2. Hivi karibuni alinipa bei hizi: Connector moja tunauza 500....filter moja 160,000...drippipe 450 kwa mita lakini kama unachukua roller nzima ya mita 1000 bei inakua 400,000[\color]
Bei zake zipo poa kuliko wengi.
3. Pia kuna NGO ipo Kenya wanauza bei poa sana. Sijafanya nao conversation.
4. Generally, Wabongo wenhi wanaumiza mno.
Mkuu shukrani nami niko Dom naomba ya huyo bwana wa Dodoma.
 
Panda maximum mbegu mbili kwa shimo, na acha matunda mawili kwa kamba ambapo yata grow maxium kilo 8-12 kila mmoja, ambapo kama bei itakuwa nzuri mwezi wa 6 unaweza yauza moja kwa tsh 2500-4000 kwa bei ya shambani

Mkuu ubarikiwe sana.nimekuelewa sana.naomba ushauri wako ni vema nikapanda mbegu ngapi(f1 zebra)mana nahitaj kupata faida nzuri.kama nikipanda mbegu moja nikawacha matunda matatu sitafikia idadi ya matunda niliyotegemea
 
Panda maximum shina mbili kwa shimo, na acha matunda mawili kwa kamba ambapo yata grow maxium kilo 8-12 kila mmoja, ambapo kama bei itakuwa nzuri mwezi wa 6 unaweza yauza moja kwa tsh 2500-4000 kwa bei ya shambani
Je akiamua kupanda mbegu 1 ata-experience tofauti ipi from akipanda mbegu 2?? Assuming other factors remaining constant.
 
Panda maximum shina mbili kwa shimo, na acha matunda mawili kwa kamba ambapo yata grow maxium kilo 8-12 kila mmoja, ambapo kama bei itakuwa nzuri mwezi wa 6 unaweza yauza moja kwa tsh 2500-4000 kwa bei ya shambani
Thanks chief wacha niingie shamba
 
Sijajua Factor nyingi za hiyo mbegu (Mfano Germination percentage-Asilimia za mbegu kuweza kuota) na shamba lenyewe lina necha/historia ipi, kama uwepo wa nematodes, minyauko-Fusarium, wadudu wa kubungua mbegu etc. Sina data za germination percentage ya hiyo mbegu-Zebra F1, ndio maana nashauri apande mbili, ili incase moja ikifa basi nyingine itaokoa, kama germination percentage ni over 97% na other factor ni suitable constant then mbegu moja inatosha

Je akiamua kupanda mbegu 1 ata-experience tofauti ipi from akipanda mbegu 2?? Assuming other factors remaining constant.
 
Sijajua Factor nyingi za hiyo mbegu (Mfano Germination percentage-Asilimia za mbegu kuweza kuota) na shamba lenyewe lina necha/historia ipi, kama uwepo wa nematodes, minyauko-Fusarium, wadudu wa kubungua mbegu etc. Sina data za germination percentage ya hiyo mbegu-Zebra F1, ndio maana nashauri apande mbili, ili incase moja ikifa basi nyingine itaokoa, kama germination percentage ni over 97% na other factor ni suitable constant then mbegu moja inatosha
Hapo nina kaswali mkuu.kama mbegu moja inatosha nitavuna matunda mangapi kwa kila shina?najuwa nitakua na matunda machache na yenye ubora lakini vipi faida itapatikana sawa na kupanda mbegu mbili ambayo idadi ya matunda itaongezeka?nisamehe mkuu kwa maswal yang
 
IMG-20170421-WA0009.jpg
wakuu hili ndo shamba nimeshalilipia kwa ajili ya kilimo.kesho naanza kulisafisha
IMG-20170421-WA0010.jpg
IMG-20170421-WA0008.jpg
hapa hili ni gari la ng'ombe nali repair kwa ajili ya kuleta mbolea(samadi) shamba.
 
wadau nlikua na wazo,kwa wale walio sereous na kilimo cha drip irrigation,why tusiungane tukatengeneza mahitaji ya mashamba yetu then tukaagiza mzigo kwa pamoja in bulk ktk container....tunachanga fee ya clearing,na vi tax vya Tra,mzigo ukitoka tunagawana...hii itakua cheap sana...hii inaweza kwenda mbali zaidi tukawa na umoja wa wanakilimo wamwagiliaji...tukawa tunatembeleana tunapeana Uzoefu na utaalam...
 
wadau nlikua na wazo,kwa wale walio sereous na kilimo cha drip irrigation,why tusiungane tukatengeneza mahitaji ya mashamba yetu then tukaagiza mzigo kwa pamoja in bulk ktk container....tunachanga fee ya clearing,na vi tax vya Tra,mzigo ukitoka tunagawana...hii itakua cheap sana...hii inaweza kwenda mbali zaidi tukawa na umoja wa wanakilimo wamwagiliaji...tukawa tunatembeleana tunapeana Uzoefu na utaalam...
Wazo lako ni zuri mkuu!
 
Back
Top Bottom