Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
wifi yangu nakukumbuka sana tu, na nakumiss mno. mzima wewe my lovely wii?Wifi hata hunikumbuki jamani?
Mzimz wewe?
wifi yangu nakukumbuka sana tu, na nakumiss mno. mzima wewe my lovely wii?Wifi hata hunikumbuki jamani?
Mzimz wewe?
Dah kwa tyle hiyo halistahili aisee labda Mwaka mmoja na nusu kama mimi na AmynerErickb52, wiki moja yaani ndo kwanza penzi linaanza, hapa linakuwa moto moto.......hakuna kulala, kuongea usiku na mchana, lunch time naomba ukale, naomba nikuchagulie chakula cha jioni ya leo, nataka niwe wa mwisho kuongea nawe kabla hujalala, utapenda kuamka saa ngapi? naomba niwe wake-up call yako,............. linahitaji anivesari kweli?
you can say that again..... au angalau miezi 3 hivi maana hapo uvivu unaanza kuingiaDah kwa tyle hiyo halistahili aisee labda Mwaka mmoja na nusu kama mimi na Amyner
Hahahaaa hivi eeeeh mi sina experience @fpyou can say that again..... au angalau miezi 3 hivi maana hapo uvivu unaanza kuingia
kua uyaone my dear, mwenzako leo nimeongeza mwaka mwingine kwa hiyo maexperience yanazidi kuongezeka, lol!Hahahaaa hivi eeeeh mi sina experience @fp
Heheheheeeee utajiju kijana......
Thanks Ynnah due your carin!
hilo sina wasiwasi nalo, I know for sure
Ajali ya pikipiki
Mkuu, wengine hatujui kiinglishi bana. Jibugi kinyerere nasi tuambuliemo.
Sasa hapa unamaanisha umeshapona nisimamishe sala au bado niendelee kukong'oli maombi mpaka mapepo yazimie?
Ninong'oneze tu mdogo wangudada nataka nikunong'oneze!