Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Sasa hata ndoani hujaingia na unaleta jeuri shauri yako utaishia kuwa Senior Bachela au kama Erick Fordwala usipate shida, mimi sitakuja kwako, nakusaidia kukuondolea shida ya kunipunguza maana wengine hapa tukishaingia ndoani huwa hatutoki, na nakuhakikishia hutapata sababu ya kunipunguza, so ni bora nisiingie
Asprin nakusalimu kwa majina yote.......hivi huko mbege inapatikaMi natatizwa na kilugha chenu cha kiingkishi. Ila nimeelewa kuwa mdau ni mgonjwa na namuombea apone mapema. Semeni AMINA......
Hommie Kaizer nakusalimu mazee.
Nisamehe niko machimbo huku Torabora. Vyuma chakavu si haba..
Kwaherini tena.
Jamani kwa upendo wa kweli Blaki Womani na FP nawatakia usiku mwema....mlale salama naona nasinzia sana! Tuonane kesho Mungu akipenda! Judgement ugua pole kaka!
Tchao!
Pole sana kaka yangu Judgement hope unaendelea vema sana!
Nakuombea sana kwa Mungu akusaidie urejee katika hali ya kawaida mapema iwezekanavyo!
Get Well soon bro!
Asprin nakusalimu kwa majina yote.......hivi huko mbege inapatika
Nimerudi hapa kwa heshima yako Blaki Womani. Naamini walitambua hilo. Mie mzima na huku mbege ni za kumwagiana.
Nakupenda sana lakini naomba nikuage. Bado naokoteza vyuma chakavu. Hivi namba zangu ulipoteza nikudipu uzisevu au umeamua tu?
Salimia wote pande hiyo hasa Filipo na Arushaone ambao wananidai... Niko kimaombolezo zaidi
Heeh! Mie hata n'jajua kama unagonjeka. What happened, mama kijasho kakusukuma? Manake mmepokezana kuumwa sana.
Poyeee, get well soon. Ntakuja kukudeku mwaya.
Ulale salama kabisa, na mimi pia nakutakia usiku mwema, sina shaka najua utaniota, lol!Jamani kwa upendo wa kweli Blaki Womani na FP nawatakia usiku mwema....mlale salama naona nasinzia sana! Tuonane kesho Mungu akipenda! Judgement ugua pole kaka!
Tchao!