Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
haitawezekana..........ninavyomjua Erickb52 atoa mashahiri hadi utabadili msimamo.........nina wasiwasi ameonana na Rutashubanyuma kumwandalia vinaa
haitawezekana..........ninavyomjua Erickb52 atoa mashahiri hadi utabadili msimamo.........nina wasiwasi ameonana na Rutashubanyuma kumwandalia vinaa
Hahahahaaaaa Blaki Womani naomba nimwombe Mungi anisaidie kuzifikisha salamu zako kwa ukaribu maana nahisi kwangu ntazichelewesha sana!
Ila naamini hajambo popote aliko!
Halafu madame huyu binti FP ananisumbua sana sijui nimfanyaje hebu nisaidie
Akubariki na wewe pia .Aidha sitochoka kurejesha shukrani zangu kwani kiivo ndivyo nilivyotritiwa wis mai parents
JIWE LINALOISHI
KIPIPI
ASPIRINI
BLAKI WOMANI
MAMNDENYI
KONNIE
MAREJESHO
SWEETLADY
Aidha na wale waliotangulia kunijua hali awali na nikawataja nanyi Mungu awabariki.
Kila lililo zito awaondolee.
Heheheheeeee utajiju kijana......Heeeeeeeee!!!! Erickb52 ushaharibu manake Blaki Womani ni mamkwe atakuja kusanua noma kwa bintiye!
Ulinipa jukumu la kumsindikiza Kabakabana, nimemfikisha salama, uchochoro ulikuwa poa thanks god hakukuwa na polisi jamii
hilo sina wasiwasi nalo, I know for sureFP hujambo? Nitaendelea kuota usijali
Erickb52, wiki moja yaani ndo kwanza penzi linaanza, hapa linakuwa moto moto.......hakuna kulala, kuongea usiku na mchana, lunch time naomba ukale, naomba nikuchagulie chakula cha jioni ya leo, nataka niwe wa mwisho kuongea nawe kabla hujalala, utapenda kuamka saa ngapi? naomba niwe wake-up call yako,............. linahitaji anivesari kweli?Hivi FP hutaki kuwa na anivezali ya wiki moja ya penzi langu? Heheheheee sio ya miaka 13 tu lol
Erickb52, wiki moja yaani ndo kwanza penzi linaanza, hapa linakuwa moto moto.......hakuna kulala, kuongea usiku na mchana, lunch time naomba ukale, naomba nikuchagulie chakula cha jioni ya leo, nataka niwe wa mwisho kuongea nawe kabla hujalala, utapenda kuamka saa ngapi? naomba niwe wake-up call yako,............. linahitaji anivesari kweli?