M mhondo JF-Expert Member Apr 23, 2011 968 342 Jun 10, 2012 #1 Naona wameamka tena leo mechi ipo hewani sasa hivi kupitia UBC.
Wingu JF-Expert Member Jan 14, 2011 4,318 401 Jun 10, 2012 #3 Itakuwa kibali chao ni kuonyesha mechi moja.Angali ya 3:45 kama wataonyesha
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Aug 17, 2011 37,444 25,591 Jun 10, 2012 #4 Spain ns Italy live in ATN.
Mwana Mpotevu Platinum Member Sep 7, 2011 3,295 2,500 Jun 11, 2012 #5 mhondo said: Naona wameamka tena leo mechi ipo hewani sasa hivi kupitia UBC. Click to expand... mhondo na ile ya Croatia na Ireland walionyesha hawa jamaa au?? nataka nikalipia king'amuzi changu fasta Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
mhondo said: Naona wameamka tena leo mechi ipo hewani sasa hivi kupitia UBC. Click to expand... mhondo na ile ya Croatia na Ireland walionyesha hawa jamaa au?? nataka nikalipia king'amuzi changu fasta
Mwana Mpotevu Platinum Member Sep 7, 2011 3,295 2,500 Jun 11, 2012 #6 tedo said: Spain ns Italy live in ATN. Click to expand... tedo hawa ATN walionyesha mechi ya pili? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016