jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,401
Sijui Tanzania tutafika lini hatua ya uwajibikaji kama hii,Rais wa korea ya kusini amemfukuza kazi waziri wake wa mambo ya ulinzi Kim Kwan Jim na mkurugenzi wa shirika la upelezi Won Sei Hoon kwa kushiwa kutambua kifo cha Rais wa korea ya kaskazini kim jong mapema mpaka walipopata taarifa hiyo kupitia Television jumatatu siku mbili baadaya kufa kwa rais wa korea ya kaskazini.
Pia Rais huyo amewawajibisha watendaji wengine wa shirika la upelelezi wa korea ya kusini kwa uzembe huo.
source:MBC-SOUTH KOREA
Pia Rais huyo amewawajibisha watendaji wengine wa shirika la upelelezi wa korea ya kusini kwa uzembe huo.
source:MBC-SOUTH KOREA